Kwa kasi ambayo Chadema wanakwenda nayo hakuna wa kuwazuia kwan jinsi wananchi wanavyowakubali sijapata kuona kwan wakati wa Operation ya M4C n Vua Gamba vaa Gwanda nilikuwepo Mtwara ndugu wa Kusini wenyewe wamekili haijawahi kutokea wingi wa Watu kama waliokuwepo siku ya Mkutano huu.Nadhan...
Tukupitia Jukwaa la great thinkers napenda kumuomba sana Mh Zitto arudishe nguvu zake kigoma mjini kwan tumechoka kuona jimbo la Kigoma Mjini likinyakuliwa na CCM kila msimu hadi tunamkumbuka Yuda wetu Dr. Kabourou natumaini kama tukijipanga tunaweza kulirudisha mikononi kwan kama yunaweza...
Nan aliyekumbia Kuwa Mwenyeji wa eneo ndio kujua kila kilichomo sehemu husika ukweli utabaki kuwa ukweli Edson sina nia mbaya na Tanzania Daima ila natoa kilichomo bila kujali ni mwenyeji au mgeni kana nan hajui kuwa Wanahabari wetu wanatabia za kushea habari so kama ni gabbage zote zinakuwa...
unataka aeleze nini tena ni kwamba katika gazeti la jana Tanzania Daima front Page picha iliyopewa namba mbili ni tukio lilotokea Morogoro last year sasa mtu unajiuliza mhariri na siri gani kuiweka picha hiyo katika vurugu za zanzibar au nani kamtuma kufanya hivyo kwan picha hiyo imeandikiwa...
unataka aeleze nini tena ni kwamba katika gazeti la jana Tanzania Daima front Page picha iliyopewa namba mbili ni tukio lilotokea Morogoro last year sasa mtu unajiuliza mhariri na siri gani kuiweka picha hiyo katika vurugu za zanzibar au nani kamtuma kufanya hivyo kwan picha hiyo imeandikiwa...
Katika Gazeti la Jana la Tanzania Daima lilikuwa na maelezo kuhusu vurugu zilizotokea huko Zanzibar pamoja na picha mchanganyiko wa vurugu hizo lakin cha kustua na kuhuzunisha ni kufanya mambo kinyume na taaluma ya uandishi wa habari kwa kuweka picha ambayo haikutokea huko zanzibar je mnafanya...
Kuuliza ni kutaka kujua kufahamu Kabila lako, asili yako umri wako,jinsia yako na uwezo wa kufanya kwako ni vyema so ni vyema ukajibu mapema Kaka binafsi nina Duka la Jumla mitaa ya Pugu kajiungen ninahitaji mtu wa kumsaidia muuzaji wa duka ie main duties ni kupakia na kutoa mizigo dukan...
Kuuliza ni kutaka kujua kufahamu Kabila lako, asili yako umri wako,jinsia yako na uwezo wa kufanya kwako ni vyema so ni vyema ukajibu mapema Kaka binafsi nina Duka la Jumla mitaa ya Pugu kajiungen ninahitaji mtu wa kumsaidia muuzaji wa duka ie main duties ni kupakia na kutoa mizigo dukan...
mbunge wa Sumbawanga mjini Kanda ya Sumbawanga ndugu Aeshi Hilal amevuliwa rasmi ubunge na Mahakama kuu kanda ya Sumbawanga baada ya Judge
Miller kuamua kwamba uchaguz haukuwa huru na wa haki ::...
PEOPLESSSSSS POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR
Source nipo live ndan ya viwanja vya mahakama
Mbunge wa Sumbawanga mjini Kanda ya Sumbawanga ndugu Aeshi Hilal amevuliwa rasmi ubunge na Mahakama kuu kanda ya Sumbawanga baada ya Judge
Miller kuamua kwamba uchaguz haukuwa huru na wa haki ::...
PEOPLESSSSSS POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha (UVCCM ), James Ole Milya ametangaza kujiengua katika chama chake
source Mwananchi news paper
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.