Search results

  1. B

    Wananchi msifanye makosa 2020 ya kuchagua wabunge wanaosusa Bungeni

    Tunajua cha kufanya cha kwanza ni kuwapiga chini was idadi kubwa iwezekanavyo wabunge wa CCM ambao ndio tatizo
  2. B

    Maulid Kitenge: Jamani tu-connect hizi dots ndo utajua huu mchezo, Makonda na Diamond hii ilipangwa

    Ungetegemea nini ikiwa zero anamshirikisha zero wakisaidiwa na Zembululaz lenyewe.
  3. B

    Mwenye CV ya Saed Kubenea anisaidie

    Tuwe na subra maana bunge la kumi na moja itakuwa vihoja,vituko na ubazazi.na kama haukuandaliwa utaratibu wa kumjenga awe mjenga hoja makini hakika tutashuhudia mihemko yake makolokocho
  4. B

    Saed Kubenea, kutoka mpinga ufisadi na mafisadi hadi mtetea ufisadi na mafisadi

    Kule kwetu Kilalacha jina analositahili mtu mwenye tabia kama Kubenea ni Kishoia.
  5. B

    Gazeti la jana Mawio liliandika uongo wa Instagram (kuhusu DC Makonda), ombeni radhi now!

    Gazeti linalomilikiwa na waandishi makanjanja,Habari za gazeti hili ni zaidi uzushi.
  6. B

    Je, huu sio uvunjaji wa haki za msingi za binadamu unaofanywa na serikali ya Magufuli?

    Kuna mijitu iko kwenye Payroll ya madalali.
  7. B

    Je, huu sio uvunjaji wa haki za msingi za binadamu unaofanywa na serikali ya Magufuli?

    Itawezekana tu ikiwa yeye kama mtumishi ametekeleza vyema masharti na kanuni za kiutumishi,vinginevyo ni porojo.
  8. B

    Je, huu sio uvunjaji wa haki za msingi za binadamu unaofanywa na serikali ya Magufuli?

    Mambo mengine yanachukuliwa kama wote tuko vijiweni.ukishakuwa mtumishi wa umma uko utaratibu na hakuna namna ni lazima ufuatwe,je kwa hili ulifuatwa.watumishi wote wanajua hilo.
  9. B

    Hizi ni dalili kuwa Rais Magufuli ana mapungufu ya uongozi?

    Ukawa wako kwenye harakati kubwa san warudi kwenye chart bahatimbaya kila wanachobuni hakuna anayejishughulisha nao jpm amebamba kila kona.
  10. B

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Walimzoe Jk muzee wa swagas za kikwetu.Magufuri ukimsogelea ujiandae afanyagi maigizo,mambo ya mizaha jamaa anaga kabisa.
  11. B

    Peter msigwa mbunge wa Iringa asifu kasi ya Magufuli

    Sijaona wapi Chadema wamekemea ufisadi.nadhani kwa sasa wanajitafakari kilichowatokea
  12. B

    Peter msigwa mbunge wa Iringa asifu kasi ya Magufuli

    Sijaona wapi Chadema wamekemea ufisadi.nadhani kwa sasa wanajitafakari kilichowatokea
  13. B

    Kwa hali hii TRA wametuangusha

    Hakika wabunge wanapaswa kusimama kidete na wananchi kutoa ushirikiano wa kutosha kuinusuru nchi.fikiria kifaa kama Tv madukani Kariakoo unaweza kupata punguzo la ununuzi kwa kiwango chakustaajabisha kabisa.yote haya yanafanyika kwa kuwa kuna ukwepaji kodi wa hatari kabisa.
  14. B

    Dr. Tulia Akson - Mjumbe wa bodi ya bandari iliyovunjwa kwa ufisadi

    Mkuu umenichesha kweri,muongo mzima utapita jamaa anapiga propaganda humu.
  15. B

    Sasa tunakwenda kushuhudia tofauti ya UKAWA kushika dola na CCM kurudi madarakani

    Bila shaka Ukawa mngeanza na mheshimia aliyekuwa mgombea wa Ukawa hakika hapo ningeweza kidogo kuamini maneno yako,
  16. B

    Posho ya Vikao vya Bunge na Ziara za Kamati zifutwe

    Wanaotizamia fursa bungeni wamevimba kwa hasira na hofu na uchangiaji kwenye thread hii,
  17. B

    Magufuli ukiyaweza haya nitaanza kujenga imani na wewe

    Bila kusahau Billicanas
  18. B

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kwakuwa sisi wapiga mandondocha wa ke.au?
Back
Top Bottom