Tuwe na subra maana bunge la kumi na moja itakuwa vihoja,vituko na ubazazi.na kama haukuandaliwa utaratibu wa kumjenga awe mjenga hoja makini hakika tutashuhudia mihemko yake makolokocho
Mambo mengine yanachukuliwa kama wote tuko vijiweni.ukishakuwa mtumishi wa umma uko utaratibu na hakuna namna ni lazima ufuatwe,je kwa hili ulifuatwa.watumishi wote wanajua hilo.
Hakika wabunge wanapaswa kusimama kidete na wananchi kutoa ushirikiano wa kutosha kuinusuru nchi.fikiria kifaa kama Tv madukani Kariakoo unaweza kupata punguzo la ununuzi kwa kiwango chakustaajabisha kabisa.yote haya yanafanyika kwa kuwa kuna ukwepaji kodi wa hatari kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.