Hiv hizi chaguzi sisizoisha mwisho wake nini ? maana sasa imekuwa nchi ya uchanguzi kila kukicha..hizo pesa zingefanya maendeleo zitujengee miundombinu ya Maji, Barabara na hata vituo vya afya, inachosha sana kwakweli maana idadi kubwa ni wale madiwani waliohama chama kimoja kwenda kingine na...
Huyu mtu hana ujanja ukifuatilia atadakwa tu sema sasa lazima uhangaike mpk kumfikia..na huenda ukatumia gharama zingine za ziada mpk kufanikisha hilo jambo
Mashangingi yaondolewe tu, nina imani magufuli atalifanyia kazi hili kwani ana mzigo mzito sana wa kufanya mabadiliko ya kiuchumi, hivyo bila kunana bajeti zisizo za lazima malengo hayatatimia
Hawakumtendea haki, ndo maana ameamua kuachana na ccm..wananchi wanampenda kwasababu wanasiasa wengi huwa hawaekelezi wanayotuahidi majukwaani..hebu na ww tafakari kama chama tawala kimetekeleza ahadi zake zote kwa miaka 10
Huo ni usanii tu, hao walirudisha kadi mi wanachama fake, walioandaliwa kuidhoofisha UKAWA kisaikolojia..ni mwaka mgumu sana kwa chama tawala kwani nguvu ya uma inataka mabadiriko ambayo ccm imeshundwa kuyaleta kwa kipindi cha miaka 50 mtanzania hawezu kumudu hata mlo moja wa siku ?
Tutalalamika sana kuhusu mpango wa kikata buku kila mwezi,lkn mwisho wa siku tunarudi kuilalamikia serikali,hususan wabunge wetu maana ndo walipipitisha hiyo hoja kule bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.