hii imenishtua hata mimi maana ukikaa kuangalia movie na mwanamke huwezi kuangalia movie ya kivita au action ya aina yoyote ... sijui ni movie ya aina gani walikuwa wanaangalia hawa.. kama wewe ndo jamaa umepigwa exile ya miezi 6 na kazi yako ni bao la mkono then unaweza ukaua mtu.. Sio mwanamke...
huu sometime unakuwaga ni ujinga, yaani mtu unanyimwa tena kwa masharti ya miezi 6 na ukute jamaa kakazana kupiga bao la mkono huko afu anakuja mtu from nowhere anakumegea tu tena bila hata ya nguvu.. kirahisi rahisi tu ... walah ndoa zina shughuli..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.