Kama Ushafikia wakati mmeshakuwa wachumba ndio wakati mzuri sana wa kuwekana wazi ktk kila jambo sababu mmeshakua moyo mmoja na mnakalibia kuwa damu mmoja na kama mnashindwa kuwa wawazi ampendani mimi ni bwana mdogo sana nina girl friend wangu tumewekana wazi kwa kila kitu hivyo we have peace...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.