mimi waliniambia watanipigia mwisho wa wiki hii kunipa majibu na kuhusu malipo sijajua but walisema ni negotiable hawakuwa specific ingawa waliniuliza napenda nilipwe ngapi.
striker, air force one ya harrison ford, the mask ya Jim Carrey, on the line of duty ya Don Yen, Rambo 1,2&3, Street fighter, Hard target za Van Damme bila kusahau hard way , pia scorpion ya dolf lundergreen!
Nitarudi kuleta nyingne zaidi! Enz hzo vdeo moja mtaani, mchana kula then kulala usiku...
hajisomi babu mwamfupe, tumekula tuition fee hewa?jaman hebu waache uswahili, wanataka kubambika madeni tu! So kama m2 hakupewa risit kama mie inakuwaje?kipind kile cha registration walitupa daftar tutafute majna tuliyoandka wakat tulpokusanya pay in slp! Watatuua kwa hila zao
wapuuzi sana, kama clearance ninayo risit za kaz gani?n wametoa sababu kwann tufanye clearance tena? Nawadai risit zangu za third year semista ya 2, watupe 2 haki yetu sio longolongo nyingi! Pumbav zao sana hao!
Habar wanajamv, nimejiuliza kwann namba tatu inatumika sana kwenye mambo mbalimbali lakini sijapata jibu! hebu jionee mwenyewe
1. Ushindi mzur katka soka ni goli tatu kwa sifuri.
2. Mara nyingi ukiumwa unapewa dawa na unatakiwa kunywa kutwa mara 3
3. Kila siku tunashauriwa kula milo mitatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.