Mumewe ni over65-70yrs na mama ni kama 40-45yrs na hawana mtoto,mke wa kwanza alifari kwa ajali ya gari lakini pia hakua amezaa,wapo watoto wa3 wa ndugu zake lakini kila mmoja anakaa kwake ila tunao ofisini
Ndugu yangu fanya kazi kwa wahindi ndo utajua yanayotendeka! Yanayonikuta usidhani napenda bali nachojali ni kipato,ndo mana nilsema najihisi nabakwa! Na kutumwa ilikua ni mbinu za kuninasa nami nilinasika!
Hivi nikae hapa nijisifu hapa ili iwaje? Hakuna anijuaye hapa! Nimesema hunitaka na kua hali hio hunipa wakati mgumu si kama nafurahia hali hio! Na nimejileza wazi kua inanipa hali mbaya wakati huu ambapo nimeamua kua na m1 ambae nataka tuoane,nimejieleza hadi maumbile yangu ambayo awali nilikua...
Hapa umenifungua macho,nashukuru sana kwahilo,kitabia ni kweli ndivyo nlivyo,kua mchangamfu muda mwingi,labda niwe na tatizo tena liwe kubwa,inawezekana hilo nalo linachangia! Ahsante sana Mama Isaac
TheOne,Sijawahia kua UDOM kamwe! Mimi ni CBE NA IFM,kutoka moyoni mwangu nikuapie nliyoyasema humu ni masahibu ya kweli kabisa!! Simlazimishi mtu kuamini wala siko katafuta sifa wakati hatufahamiani na mtu yeyete humu,nnachotaka ni kupata mwanga hili janga la kutakwa ovyo ntaliepukaje! Binafsi...
Matatizo ndi haya ya kutakwa hovyo! Hiloo balaa la kwa mhindi tena ndo nalina baya zaidi kwangu! Hapo ni kibarua ndo bado kinaniweka vinginevyo sio kwa kupenda kutoka moyoni!
Nilikua nawakamua mashemeji enzi hizo sijaamua kuoa,sasa nimeamua kumuoa huyu alafu nimkanue dada yake na mdogo wake! Kuna kunogewa,penzi jaljifichi! Nakufa kiume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.