Mhmmm kazi kweli kweli elimu ni muhimu Sana kwa watoto wetu kwani wasomi tulio nao wamesomeshwa na.............. Kwaiyo lazima waongee kama wanavyotakiwa.
Inaitajika mimkakati madbubuti kuhusu namna gani tutaelezea Dunia kuwa Tanzania ni salama kuhusu Corona, pia ikiwezekana wapunguze tozo za Kuingia mbugani pia kuwepo na mkutano na wadau WA utalii, na ni jinsi gani ya kuwavutia watalii, na pia kutangaza utalii ni kutoka nje ya Tanzania, Kuna watu...
Rejea kwenye Maandiko yako ulikuwa unaunga mkono watu kuendelea kufanya kazi, na kudai Corona ingelipita, Nikakwambia (muda utaongea). Ila sishangai maneno yako kwani wewe ni moja ya wandishi wa Habari wasio jitambua.
Baadhi ya wasanii na wanamichezo WA Tz awajitambui ndo maana watabakia kushabikia watu ambao wamewadanganya wtz Miaka yote hiyo kinachoitajika na mabadiliko haijakishi Nani anaingia ikulu, watanzania tuwe na uwezo WA kubadilisha System bila kupangiwa na mtu yeyote kama ilivyo sasa, kwani ccm...
Wachezaji wetu awajitambui kuwa hiyo ndo ajira yao na pia wanatumika kunufaisha wengine. Wanapenda kuonekana kwenye magazeti ndo raha yao kuwa gumzo mitaani ila wasijue maisha ya mbeleni yakoje.
Chui amwambii kitu Simba ila Tiger ni mkubwa kuliko Simba na wanyama wote mbele ya Black Mamba(Koboko) wanatimuaga mbio ila Chatu ni chakula kwa Chui na Simba.
Huwa likitokea kundi la tembo likapita karibu na walipo simba huwa wanawapisha wapite kwaiyo tukiongelea ule ubabe tembo ni mwisho. Ila tafuta kwenye YouTube (HONEY BADGER VS LION) utajua kuwa kuna wanyama wabishi.
Hv hawa wajomba awanaga kazi za kufanya nini na ponda ndo mdudu gani! Ninatafuta wafanyakazi wasiopungua 2000 kwa ajili ya mifugo yangu huku kibaha kwaiyo nawaitaji hao raia wa ponda
Uwago wa ccm ndo utawapeleka kuzimu kwani wanafikiri watanzania wa sasa ni wale wa enzi za Mwalimu kwisha habari Yao kwani tayari wameshachimba kaburi ni muda tu wa sala tunasubiri tuwapumzishe!
Hili kabila kwao kumwaga damu ni kawaida ndi wanaongoza kwa ukatili katika jamii haswa kwa watoto na wanawake alafu utakuta anajisifu kuwa ameba fundisho kwa mtoto!!!
Huyo mama zimemtoka ajui kuwa hiyo ni ukandamizaji wa haki za binadamu kwani kuvaa nguo fupi ndo nini! Viongozi wetu wakilala na kuota mandoto yao bila aibu anayafanya ndo sheria!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.