Tarehe 1 april, 1996 imenikumbusha mbali.tuliwapiga form 1 wakakimbilia porini mmoja akatenguka mkono.Kilichofuatia kilikua kizaa zaa.nakumbuka lile parade la kutambuana pale mazengo.room yetu ya G5 ilikaa wiki nzima bila kula kwa kuogopa kufukuzwa shule.
Wanawake siku hizi ni wajanja sana.Anakua na wanaume kama saba hivi then anachagua.kigezo chao cha kwanza kwenye kuchagua hua ni uwezo wa mtu kifedha.Akiona yule mwenye hela kama haeleweki eleweki hivi hamuachii, anaendelea kula pesa yake huku anashikilia upande mwingine ambao unaonekana kua na...
Wana JF
Mimi ni member mpya wa hili jukwaa but am interested with advice na michango mbalimbali ya kimawazo inayotolewa kwenye hili jukwaa.
In short kuna binti mmoja nilimpenda na nilimjua kwa kumuona pale nyumbani kwao.Kilichonivutia zaidi kwake ni kua huyu binti anaonekana ni binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.