Hapa haingaliwi elimu bali utendaji na nia ya dhati ya kuwatumikia wananchi!!! Prof wenu CCM B amefanya nn zaid ya kujitapa kuisadia jumuia ya Ulaya kuondokana na mdororo wa uchumi na TABORA kwenyewe hawana hata baiskel ya kubebea wamama wajawazito kuwapeleka vituo vya afya!
Mnyika kAZA bUTI...
Hapa haingaliwi elimu bali utendaji na nia ya dhati ya kuwatumikia wananchi!!! Prof wenu CCM B amefanya nn zaid ya kujitapa kuisadia jumuia ya Ulaya kuondokana na mdororo wa uchumi na TABORA kwenyewe hawana hata baiskel ya kubebea wamama wajawazito kuwapeleka vituo vya afya!
Mnyika kAZA bUTI!!!
mbona mnatapika.....ungetakiwa uwe kwenye ihiyo meli. sio tu wamekula njama na nyama pia! mlichoma makanisa na kunywa viroba vya watu mkafikiri mtakua salama.....hapo bado.
Nimeamini jamaa hakufikiri vizuri kabla hajaanzisha huu uzi.......
kwa hiyo anataka kusema tubaki ccm kwa vile chadema itakuwa kama ilivyo ccm sasa?
apeleke hoja za kipuuzi mtera akashee na lusinde sio hapa jf
Kuna kipindi walichoma bar matokeo yake wakapatwa na janga la kuzama kwa meli ya spice islander....
kwa kuchoma makanisa wazanzibar watapatwa na janga ambalo hawatalisahau kamwe....kutakua na kilio na kusaga meno!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.