Kwanza alipongeza huo mkopo wa UVIKO 19 siku Mama anauweka hadharani alafu ghafla anauponda, pili kutokuwa na uelewa wa Mambo ya kitaalamu alafu unakwenda kuyazungumza hadharani bila consultation na wataalam
Katika hili suala la Job naona alichokosea ni nadharia ya mambo ya kitaalamu (uchumi na mikopo) ambayo kama mkuu wa mhimili alipaswa apate ushauri wa wataalam kabla hajatoa maoni yake public, lakini hajakosea kupishana na Rais kwa kuwa tu wanavaa wote kijani.
Zile habari za "fikra za mkiti...
Mi naona siku si nyingi mkoa utakuwa na RC mwingine baada ya bashite kujitumbua au kutumbuliwa hvo wana DSM tumshauri rais asije rudia ya bashite.
kama tunavyojua DSM ina changamoto nyingi sna ambapo Bashite hakuweza hata kujua kiwanja alichopewa juzi juzi ni Mali ya Emma. Hvo basi tupendekeze...
Waswahili tuna msemo mwenyeji njoo mgeni apone nilidhani kwa ziara hii ya mfalme wa Morocco ingekuwa nafuu kwa wana Kagera na rais wetu angetumia nafasi hiyo kuomba kitu kwa wana Kagera lkn imekua tofauti magufuli kaomba kujengewa msikiti DSM na uwanja wa mpira DODOMA.
Rais Magufuli...
Usahihi wake upo wap acheni kujipendekeza TBC wanaonesha bunge kuanzia saa nne usiku hadi saa tano ambapo saa tano wanarudia taarifa ya habari. Kama TBC wanaonesha bunge kwa dakika 60 na muda wa kuchangia kwa mbunge ni dakika 10 bas tutaona wabunge sita tu wakichangia wakati ni zaidi ya wabunge...
isije ikawa kama yale makontena 9 kusema ya wizi yamekwepa kodi kumbe kodi zimelipwa taaluma ya waandishi wetu na wahariri wao ni za kuangaliwa upya kama madereva wameambiwa wakasome tena basi na hawa waandishi wakasome upya
jamani watz mbona siasa zimeisha kazi ya kinana na kwa kila aliyekuwa kiongozi ccm kazi ilikuwa Moja tu ccm ishinde magufuli aingie ikulu na ikafanywa vizuri kbs. msemaji wa chama taifa ni nape.
yule jamaa ambaye ni naibu katibu mkuu CDM znz na pia ni kaimu katibu mkuu CDM taifa salum mwalimu yuko wap? bara haonekani ,znz haonekani au na yeye ni team Dr slaa au kashakubali ushindi kwa ccm au hakukatiwa ile keki ya bil 19 ????
Tusaidiane jaman kujua huyu dogo kafichwa wap
Napenda niwajulie hali waungwana.
Nchi yet sasa inaenda kumaliza awamu ya NNE ya utawala chini ya mh jakaya na kuikaribisha awamu ya tano ya (________ ).
Katika awamu ya kwanza chini ya julius,
Ufisadi/fisadi Ni wakuogopwa kama ukoma.
Awamu ya pili ya mzee mwinyi,
Ufisadi/fisadi Ni Ruksaa...
kaka naona unachanganya vyombo na mamlaka yake kamati ya bunge ilikuwa ni kamati ya uchunguz hvo ilipaswa kusikiliza pande zote ila ndo wameamua kuupotosha umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.