Habari wanajukwaa,
Kama una kiwanja Block 14 mabwepande na haujatembelea/haujakisafisha kwa mda wa mwezi au miezi miwili nyuma,basi tambua hauna chako,Kumezuka uvamizi wa viwanja vya halmashauri block 14 mabwepande project yaani wavamizi wamechukua viwanja "Kama Vyote" na kugawa vijipande vya...
Habari wanabodi,
Kichwa cha habari hapo juu chahusika,nahitaji nondo takribani 85 kwa mchanganuo wa 12mm idadi 60 na 16mm idadi 25,napatikana bahari beach near budget restaurant ,ledger plaza road .
Offer yangu 12mm nanunua kwa 15,000/= Tsh na 16mm nanunua kwa 25,000/= Tsh,kama unazo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.