Shetani kiumbe tofauti na malaika msichanganye baina ya shetani na malaika shetani ameubwa kwa moto na malaika ameubwa kwa nuru na walikuwa wote katika ibada ya mungu na baadae shetani akapotea
Kwani mimi sijafahamu nini kuokoka halafu la pili kwani mtu akifa ndio anakwenda mbinguni?kuna moto na kuna pepo sasa mbona mnataja mbinguni na mwanaadamu anahisabiwa na mungu alilofanya hapa duniani na hii ni siri mungu mimi na wewe hatujui na ahsanteni sana
Mimi nakubaliana nayo anayeuwa makusudi sio kwa kujitetea basi na yeye auliwe na hii ni haki yawaliofiliwa ikiwa waliofiliwa hawatotaka damu ni kumsamehe basi hapo serikali inachukuwa hukumu yake ya kifungo n.k
Hamna tofauti isipokuwa neno kufahamu na kujua ni kufahamu umefahamishwa ndio ukamfahamu kabla ya hapo humjui lakini kujua nitoka hapo unamjua bila ya kufahamishwa
jinamizi ni nini,,, jinamizi linatokano unapolala na uko katika hali ya uchafu na hali ya uchafu sio majasho kakini ni umefanya hali ndogo au kubwa au umetokwa na manii na ukalala bila ya kuoga,,,
Natoa salam kwa wote jamii forums... mara nyingi huwa najiuliza hivi ni kweli hii lugha au maneno yanayofasiriwa vingine tunavyofahamu ndio ni sawa au ndio maendeleo yenyewe na kama jembe ni shoga mimi ndio mara ya mwanzo kusikia na kwanini tuite shoga na kiswahili ni ****** shoga ni baina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.