Mkuu cj21125 mimi nimepata mke mwema and it works, nina wa-encourage wana JF wengine wasikate tamaa,am happy like never before,nilipost thread humu JF kilichotokea sikuamini,now am deeply,madly in love with her.
Jamani huu mchezo wa kutoa jicho umeenea nadhani hata kuliko watu wanavyodhania,tatizo ni kuwa ukijifanya unataka kuchukua jumla ujue kabisa hupewi n'go lakini akijua muhuni flani huna hata mpango unapewa kiulaini ile kuwa mkali ni zuga tu utakuta ana mtu wake anamega,sasa wewe Bepali...
Strawberrynaona wewe ni wale ambao mnataka kujiongezea number of posts humu Jf kwa ku-post hata uzushi mradi the numbers are rising,God bless you and keep it up.
Dah Smileleo umeniamkia vibaya,sasa avatar yangu mimi na yako unayoonyesha vipaja ipi mbaya?Kama mtu atapenda kwa kuangalia avatar za JF kuna ambao hawatapata wachumba kabisaaa.
Dah Smileleo umeniamkia vibaya,sasa avatar yangu mimi na yako unayoonyesha vipaja ipi mbaya?Kama mtu atapenda kwa kuangalia avatar za JF kuna ambao hawatapata wachumba kabisaaa.
Nashukuru kwa msaada wako mkuu siunajua ili ujue kiswahili fasaha inabidi ukieendee darasa mkuu,mie nilikisoma kwasababu ilikuwa compulsory tu lakini sio kama na-kimaind kiviiile know wht i mean?????
Sasa Smile kama unanitaka si utafute njia ya kuchat na mimi kiliko kumwaga humu hadharani,swala la mimi kula chumvi nyingi lina husiana vipi na kutafuta mke,ndio maana nataka aliekula chumvi kama mimi sihihitaji mapresha ya vijitoto vidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.