Nakupongeza nape kwa ujasiri. Hii ni fulsa ya kujitambua zaidi. Tungekua na misingi imara tangu mwanzo Leo tungekua tunaheshimu sheria. Ww ni mmoja wa watu ulioshabikia sana bunge lisioneshwe laivu na kutetea kwa nguvu zote. Leo unayaona madhara yake. Tafakari na usimame kua imara kutetea...
Hii inaonesha hata kamati iliyotumwa na speaker clouds ni upuuzi kwa Mkulu. Imani imebaki kwa bunge sasa. Wabunge wanapaswa kua strong na wamoja ktk kuisimamia na kiwajibisha serikali, otherwise tunapokwenda ni ubabe usio heshimu utawala wa sheria.
Ishu sio kujiuzulu au kutojiuzulu. Nape asimame kwenye kweli, na hiyo kweli itamuweka huru. Atabaki na amani ya nafsi na tasnia ya habari itakua na amani.
Nakupongeza Nape kwa hatua uliyochukua kama Waziri mwenyewe dhamana. Mungu akubariki kwa hata hiyo. Mengi utaambiwa na kushauriwa kama ambavyo nakwambia mimi Leo. Ushauri wangu kwako, ni kwamba kusema kwako kweli wa jambo hilo la mkuu wa mkoa wa Dar, utakuweka huru.
Utabakia shujaa machoni pa...
Mpuuzi sana huyu jamaa. Anasema walilipwa... Hivi yote hayo anayoyaongea huyu Steve ni kwa sababu amelipwa... Shame on you Steve. Umetuaibisha wanaume.
Swali tu: hivi raisi kikwete, yeye kama raisi wa nchi anavolalamika kua richmond ni lowasa, kafanya nn kama mkuu wa nchi kuhusu hilo jambo? Jambo lililogusa taifa, afu yeye anakuja kutueleza leo, akilalamika. Anataka sisi wananchi wa kawaida tujifunze nn?
Hii kuelekea uchaguz mkuu mwakani, soon mtasikia uchotaji wa pesa nyingine BOT. Tunaweza kua tunajadili hili la EScrow sasa kumbe kuna deal lingine linaendelea bank kuu (BOT) .
Kuweka rekodi sawa, PAP ( sio IPTL ) wamelipwa tshs 306 bilioni. Alizosema Rais ni zile zilizokuwa Benki kama taslimu na dhamana za Serikali. Ambazo hakusema ni zile ambazo zililipwa na TANESCO baadaye. Ifahamike hadidu rejea ( Terms of References ) kwa CAG kufanya uchunguzi zilitolewa na PAC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.