Kwani hiki chama cha rangi kama majani ya MIGOMBA una uhakika nacho kuwa hakihusiki na kashfa za namna hiyo? Je ni CHADEMA tu mnawatishia au ni pamoja wa vyama vingine?
Omba kwanza kujua ni sifa gani za kanisa katoliki zinazomfanya mtu kutangazwa mtakatifu au mwenyeheri. Pili yaangalie kwa karibu maisha ya mwalimu Nyerere na Binadanu wenzake duniani wakati wa uhai wake.
Baada ya hapo uliza swali lako.
Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (POAC), Zitto Kabwe, alisema pamoja na mabadilko machache, bado ripoti hiyo ni mbaya, kwani bado kuna matatizo makubwa ya usimamizi wa fedha za serikali. Alishangaa Wizara ya Nishati na Madini kushindwa kukusanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.