Search results

  1. B

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

    Kwani hiki chama cha rangi kama majani ya MIGOMBA una uhakika nacho kuwa hakihusiki na kashfa za namna hiyo? Je ni CHADEMA tu mnawatishia au ni pamoja wa vyama vingine?
  2. B

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    Omba kwanza kujua ni sifa gani za kanisa katoliki zinazomfanya mtu kutangazwa mtakatifu au mwenyeheri. Pili yaangalie kwa karibu maisha ya mwalimu Nyerere na Binadanu wenzake duniani wakati wa uhai wake. Baada ya hapo uliza swali lako.
  3. B

    Siri ya Mwenge wa Uhuru

    Kama ulitumika wakati wa uhuru, basi waupeleke kwenye jumba la makumbusho au kwenye maktaba ya mwl. Nyerere butiama.
  4. B

    Sababu iliyomfanya mkuu wa mkoa Arusha kupigwa mawe

    Poleni wadogo zangu wa Arusha. Huyu aliyeingia kichwa kichwa Arusha ITAKULA KWAKE labda arudi alikotoka.
  5. B

    Mbowe amliza Chami

    Walimuibia mgombea wetu wa chadema 2010 waziwazi eti kisa uwaziri, sasa hakuna cha uwaziri wala ilani ya ccm. Kilio chao 2015.
  6. B

    Kwanini Serukamba hakutolewa bungeni?!

    wabunge wa ccm hawana elimu na pia sheria hawaijui vizuri kwa hiyo wamefika bungeni kwa uswaiba wa viongozi wa juu
  7. B

    CHADEMA wanamwogopa Mwigulu Nchemba kuliko kitu chochote

    mwigulu haogopwi na CHADEMA ila kwa vile mwigulu ni sawa kichaa huwezi kumsikiliza maana hali yake mbaya sana na maanisha 2015 asahau kuingia bungeni
  8. B

    Ninalaani vikali udhaifu wa Kiti cha Spika na aibu ya Taifa letu

    Hata kwenye familia baba akiwa hana msimamo na uelewa wa nafasi yake (spika) haya ndo hutokea.
  9. B

    CAG aikosoa serikali! Amtunishia msuli Makinda kuvunja POAC, ashauri irudishwe! PSPF hatarini kufa

    Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (POAC), Zitto Kabwe, alisema pamoja na mabadilko machache, bado ripoti hiyo ni mbaya, kwani bado kuna matatizo makubwa ya usimamizi wa fedha za serikali. Alishangaa Wizara ya Nishati na Madini kushindwa kukusanya...
  10. B

    Ridhiwani Kikwete akanusha tuhuma juu yake na kusema ni uhalifu wa mtandao!

    Watavuna waliyopanda as "what goes around is what comes around"
  11. B

    Nani Kamanda wa Ukweli kati ya Mbowe na JK...... Angalia picha utoe majibu!

    kila mwenye swali aniulize mimi maana majibu hapa sikopeshi yapo waziwazi
  12. B

    Nani Kamanda wa Ukweli kati ya Mbowe na JK...... Angalia picha utoe majibu!

    nikope majibu unilipe kesho maanahiyo majibu yake inauzwa ghali
  13. B

    CHADEMA ni Wacheza Disko - Prof. Lipumba

    Bwana Lipumbaee "h at u d a n g a n y i k i"
  14. B

    Ushauri kwa machemuli wa chadema

    makamada hawatangulizagi maendeleo yao, atoe kwanza shukrani kwa wapiga kura wake then mambo mengine baadae lasivyo anakiuka katiba ya chadema
  15. B

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Akikataa kula muhogo, na wewe kataa kwenda chumvini uone itakuwaje.
  16. B

    Urais CHADEMA it's like a death sentence!

    Wewe kama si gamba, basi hujui maana ya kanuni na taratibu. Soma vizuri hotuba ya mwenyekiti wa bavicha arusha na singida. Kama huelewi uliza.
  17. B

    hawa ndio wamarekani

    Mbona hawaonekani?
  18. B

    Kikao cha dharura cha CCM mchana huu

    mimi nafikiri siyo ccm kuikuta treni bali ccm imeshasona mbele haitatokea mkaikuta imenda kama umeme:msela:
  19. B

    Hapa ni wapi?

    swali ngumu labda kairo misri
Back
Top Bottom