Hapo kwenye mawakala ndio pana umuhimu mkubwa sana. Baada ya sarakasi ya kuwaengua wapinzani sasa sarakasi kubwa kabisa ni kuhujumu kwenye mawakala. Umakini unahitajika sana
Mimi nimekumbuka sana hiyo MSURE siku za jumapili tunarudi Pugu sekondari toka kuwatembelea ndugu mjini. Nakumbuka ile kona yake ya kulala pale airport ilikuwa burudani. Bila kusahau SHELLA BEACH.
Dah! Ukisoma hilo andiko unapata simanzi iliyopitiliza. Unaishia kusema malipo ni hapa hapa duniani. Waliofanya hivyo walivyofanya utafikiri wana hati ya kuishi milele na milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.