Kaka Pascal, sikajukuelewa vizuri. Kwamba kwa sababu ya "right to pricavy" media hamruhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yeyote. Je, kujua kwenu kwamba yupo wapi, anafanya nini, hakujaivunja hiyo haki, na mmejuaje bila kumfuatilia?
Hamuoni kwa mashaka waliyonayo watanzania juu ya uhuru...
Inabidi kuwa na cha king'amuzi cha ziada (free) kama unataka kuona channels za ndani, ..kwa kweli ni usumbufu kwa mwananchi wa kawaida! startimes, digtek, continental, etc
Kaka, TCRA wanataka TV za FREE zisionyeshwe kwenye ving'amuzi vya kulipia (vikiwemo DSTV, ZUKU, AZAM) isipokuwa TBC peke yake. Sijajua lengo ni nini, na kwa nini TBC tu inaachiwa, na yenyewe ni free?
Tofauti ipo kubwa tu. Zichinguze kwa makini utagundua, settings za GB whatsapp ni pana mno na ina features nyingi zaidi, kwa kifupi GB whatsapp ipo juu zaidi!
Mbona Kenya na Uganda hawajatoa mgombea wa nafasi ya Spika, au ina maana Tanzania sisi ndiyo tunajua sana, ..au Kenya na Uganda hawajali maslahi ya nchi zao?
JIULIZE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.