Hamna wako kzn..kama kazi zingine..anakuuliza lesen ili umpe ..next anakutafutla kosa.
Ukishindwa kumtoa na buku 2..anangangania leseni..mi huwa cwapi walishapoteza lesen yangu mikese 1997..csahau.waliingangania nikawa cna pesa.kurudi baada ya wki kulipa fain lesen haionekani..nikaanza kutafuta...
Watanzania ,Eti mtu kashakuwa MILIONEA na vyeo vikubwa ,leo kwa ajili ya wivu, njaa,eti cyo raia,mlikuwa wapi cku zote,msisemee,Njaa na wivu vinatumaliza,,.nawe nenda Kenya kawe WAZIRI wa FEDHA.
DHAIFU alisaini hakujua kuwa ,alishakula ten percent ya BARRICK,na kila cku anaenda mikono nyuma UNITED STATES,,kuomba,,sasa leo BARRICK wanashindwa kupata DHAHABU,, mpaka CHIEF EXECUTIVE OFFICER WA BARRICK,, kaja ,kujua kumetokea nini?mpaka wafanyakazi wagome?wanagundua ni ujinga ,wa GOV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.