ni kwamba usiseme walimu wa secondary na primary ni wapi hawana maadili wote hawana maadili kwani kwa sasa ualimu sio wito kama zamani bali ni shida ndio zinammpleka m2 awe mwalimu ndio maana sikuhizi uasikia mwallimu wametembea namwanafunzi na vile vile walimu wanalewa na wanafunzi wao sasa...
mzee wa kufuchua mambo pole sana kwa yalio kusibu ila tunakuokmba
utullie sasa usiwe unafichua mabomu yaliyotegwa kwani matokeo yake umeyaona
nadhan mungu alijua huna hatia kwa vile uanatetea wanyonge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.