Sababu kuu ya ushidi wa CCM ni Ujinga wa waTZ ikiwa nyinyi munaojifanya ni wasomi ni wajinga itakuwa waTZ wasio soma. CCM haishindi, inatangazwa tu na Mkereketwa Lewis M. Makame na R.R. Kiravu hii yote ni mi CCM mikereketwa
Hakuna lolote nguvu waliyonao CCM ni Tume ya Uchaguzi na kama kweli wanajiamini basi nakuomba washauri tume ya uchaguzi isiwe ya CCM watupu. Ama kusema upinzani hawana nguvu hiyo ni kweli kwasababu bila ya kutumiya nguvu za umma wasahau kushinda uchaguzi kwa kupitiya yume ya uchaguzi ya CCM.
Hapana maana yoyote kufanya Uchaguzi kwa hapa Tanzania NEC haitoruhusu kuwa na uchaguzi huru na waki NEC ipo kwa ajili ya CCM tu sasa yanini kufanya uchaguzi ni just kuwapa CCM mwanya wa kutesa watu tu.
Endeleeni na porojo baada ya kula chips na kuku wa KFC. madamu NEC au tume ya uchaguzi ni CCM hata watanzania wote waipigie kura Chadema basi mshindi ni CCM. Na huyo Mrema munaemsifu hawa CCM wenyewe bado walikuwa wamelala 95 ndio maana wakawaruhusu kupata kura nyingi lakini walipo amka sasa...
Hata mukaanzisha chama gani sijuwi lakini serikali hamupati tanzania.
Ikiwa nyinyi ndio wasomi lakini bado CCM hamujaijuwa au sijuwi munababaisha tu.
CCM Haina Shida Ya KURA ya mtu YOYOTE wao wanatume ya U C H A G U Z I B A S I ikiwa mutaweza kufahamu hapo basi chama chengine...
bro, kakwambia nani kama wakaazi wote wamepewa ID au wewe ndio uliozitowa sasa watu makelele yote hayo wanayopiga kwamba hawapewi ID zina tolewa kwa ubaguzi tu kama wewe ni CCM utapewa mpizani hakuna. alooo!!! basi kama hujuwi hii ndio mbini ya kuiba kura ukisha kuwazuiya kuandikisha basi...
Sasa huyu anayetowa hivi zan ID si ndio huyo huyo CCM ??? sasa si ndio maana hawapewi wale wote wanao onekana kuwa ni wapinzani. bro nafikiri ama unababaisha watu ama huwajuwi CCM na hata ukenda Mahakamani ni kupoteza wakati maana hata hiyo mahakama utakutana tena na Mi CCM tu huko.
Uandikishwaji wapigakura waleta vituko
Richard Makore
Zoezi la uandikishwaji wapiga kura jijini Dar es Salaam jana lilijawa na vitimbi baada ya mjumbe wa CCM tawi la Mkunduge kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi na wafuasi wa CUF kwa madai ya kutaka kujiandikisha sehemu asiyostahili...
Kwa Tanzania hakuna muhimu wowote wa kupiga kura ni kupoteza wakani Nec ama tume ya uchaguzi ya taifa (i mean ya CCM ) ndio inayochaguwa nani awe raisi nani awe mbunge kwa matakwa ya CCM kuna majimbo mengine hata kura ya mbunge mwenyewe haionekani. bro usipoteze wakati wako bure kwa usanii wa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.