Search results

  1. M

    Nyumba nzuri inauzwa bei nzuri

    Hiyo bei naona ni sawa tu ukilinganisha na eneo lenyewe. Kwanza ni ghali ilitakiwa walau Tsh 25,000,000/-
  2. M

    Umbali kutoka Dar kwenda Mwanza {km}

    Mkuu hata mimi ni shuhuda. Nimeendesha peke yangu bila kupumzika kutoka Dar(Segerea) hadi Bukoba(Kanyigo) Km 1542 bila kupumzika na nilitumia masaa 18.
  3. M

    Kanisa lachomwa moto,nyamongo.tarime.

    Hizi ni dalili za siku za mwisho......
  4. M

    Muungano huu hatuutaki

    bora uvunjike.
  5. M

    Mashehe wa Bara Ongozeni harakati za kuupinga Muungano; Tanganyika isiidhulumu Zanzibar

    Mkuu hapo umesahau kwamba wazenji wanaimport kutoka bara vitu kama nyanya, mbogamboga, vitanda vinavyotengenezwa pale Buguruni na bia za TBL/SBL. Hawa hawana madini kwa ujumla hatuna cha kupoteza kama huo Muungano utavunjika.
  6. M

    Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!

    90% ya wazanzibar ni Waislam. Na kama unavyowajua wenzetu, si wastaarabu maana jambo dogo tu wanalifanya kuwa kubwa. Wanataka nchi hii itawaliwe kwa misingi ya sharia. Hivyo mkuu usishangae kuona uislam unakuwa linked na siasa hasa Zanzibar na pwani.
  7. M

    Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

    Huyu Gerald J. Guninita ni mtoto wa John Guninita au ni majina tu yanaelekeana? kama atakuwa ni mtoto wa John Guninita naamini hata yeye atakuwa na kichwa kibovu kama cha babake.
  8. M

    (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

    Mkapa amesema anashangaa kwa nini Mahalu ameshitakiwa. Na kwa kumbukumbu za haraka ni kwamba Mahalu alivuliwa ubalozi February 2006 yaani siku kama 40 hivi tangu JK alipopata madaraka. Hii imekaaje? inaelekea JK alikuwa na usongo naye. Au hakupewa mgawo wake?
  9. M

    Photos from 1961!!

    Picha ya 1962 inaonyesha kulikuwa na meli nyingi zinaingia na kutoka hapo bandarini. Picha ya sasa hivi vinaonekana vijahazi tu vinavyotoka Zenji. Huu ni ushahidi tosha kwamba siku za nyuma tulikuwa vizuri kuliko sasa.
  10. M

    Baraza la Mawaziri Kutangazwa Leo...Tetesi za Wanaotajwa Sura Mpya...

    Kigoda , Meghji ndo walichangia sana kuifikisha nchi hapa ilipo kwenye dimbwi la umasikini. Leo hii anawarudisha????!!!!
  11. M

    Nape ana wadhifa gani SERIKALINI?

    Ni mkuu wa wilaya ya Masasi
  12. M

    Mustafa Sabodo atinga Baraza kuu la CHADEMA na kuahidi makubwa

    Wana JF huyu mzee anachokifanya si kwamba anatusaidia wana CDM, ameweka mguu mmoja ndani ya CDM mwingine ndani ya CCM. Anapima upepo tu ili CDM tukichukua nchi abaki salama yeye,familia yake na mali zake.
  13. M

    Angalia jinsi mayai feki yanayotengenezwa na wachina hapa tz

    Wana JF, Habari zilizopo zinasema kwamba wale walaji wa chips mayai wakae chonjo kwani kuna mayai ya Kisasa yanayotengenezwa na wachina hapa nchini. Angalia picha za mchakato mzima wa jinsi yanavyotengenezwa.
  14. M

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Kwa wale wanaotokea BUKOBA zilikuwepo ZIWATUE(Double Action), KABANDOLE, BUJUGO, THE ROOTS, LUGOGO, KAFUNGA TRANS, VIJIJI VINNE na ZAHWAYO.
  15. M

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Magamba watazidi kuaibika mwaka huu, hilo jimbo la Arusha mjini CDM tutalichukua kiulani kama Arumeru Mashariki.
  16. M

    Breaking news: Milipuko yatokea kigamboni

    Mkuu Kigamboni ni sehemu ambayo serikali ina mpango wa kupajenga kuwe mji wa kisasa.Angalia usije ukanunua kumbe mtu alishalipwa chake alafu akakuingiza mjini.
  17. M

    Breaking news: Milipuko yatokea kigamboni

    Wana JF, Kuna milipuko kama nane imetokea eneo la Kigamboni Dar. Mimi nipo mtaa wa Samora naona wingu kubwa la moshi eneo la Kigamboni. Haijafahamika kama yanatokea eneo gani kule Kigamboni. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
  18. M

    Leo ni mechi kati ya man u vs fulham

    Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
  19. M

    Mtangazaji Mahiri

    Kila kazi ina miiko na maadili yake. Sasa kama hujaisomea hiyo kazi si utavurunda bro?
Back
Top Bottom