hahahahaha..eti hii nayo ni comment inayotolewa na KING OF ALL SOCIAL MEDIA NETWORKS. Above 54yrs old man, Msomi, mtu anaeijua vyema dunia ati.. Comment ya kitooto, yakipuuzi name hafifu sana
Ninalifamu vizuri in and out asilimia kubwa mambo yake yamekaa kiudalali dalali hususan maswala ya mademu maarufu na kujifanya linafahamu mambo mengi na kufahamiana na watu maarufu. Halina ujanja wowote tofauti na kujipendekeza kwa watu wenye pesa. Na yeye pia aninifahamu vizuri tu sema ndo...
Above 50years old Man..lakini mambo ya kitoooto..as if you're under 30.. Kazi kujipendekeza kwa watu maarufu kisha unapost kwenye IG..eti business meeting.. hahahahaha naaafwaaaz wakati unakutana nawa sehemu husika wakiwa na mambo yao binafs na kuomba selfie..hahahaaha. eti umaarufu umaarufu...
Jin
Jinga sana hilo linajiona jaja wakati nalifahamu vizuri tu..linapenda sifa sana na hayo matangazo linayopost kwenye IG zake mengi ni ya kujipendekeza linafanya bure na kuambulia ofa za msosi tu..
Nakufa
Nakufahamu IN and out huwezi kunidanganya mimi wadanganye hao majuha unaowadanganya.. Lifestyle yako naifahamu..huna uwezo huo unaosema. Mwenye uwezo hawezi kujisemea lifestyle yake.. Eti futari ya 65k hahaahahahahaha
Unaona sasa ninayoyasema...? Hii ni sawa nakuonesha cheti cha kuhitinu form four kana kwamba umehitimu peke yako nchi nzima.hahahaahaha ushamba tu.. Wajukuu zako wenyewe hawawezi fanya upuuzi kama huu.. Siku zoote mtu anayejishow off sanaaaa hana lolote.
le mutuz tatizo lako ni maneno mengiiiii vitendo sifuri... Huna lolote laiti ungekuwa una pesa the way unavyojishow off dunia nzima ingejua. Yaani kuwa na kimradi cha 5ml basi unajiona booonge la akili kubwa hahahahaaha..unayoyafanya sasa yalishafanywa kitambo sana tena na vijana wa under 30 wa...
Hahahaha.. Linapenda mineno mbofumbofu sana hilo lizee.. JPM akitoka madarakani lemutz atakuwa age sawa na umri wa sasa wa EL.. Lkn mawazo aliyonayo sasa ni ya akina Aslay. Ukiona mtu above 50years old anapost nyumba isiyokuwa madirisha na milango(haijakamilika),hana majukumu ya kifamilia na...
Lingeacha mambo ya kitoto toto na umama umama lingekuwa mbali sana kwasasa.. Yaani yeye maisha anayatazama vais verse kwamba umri unarudi nyuma badala ya kwenda mbele.. Saivi hata wajukuu zake akina Millard Ayo wako mbali kisocial media lkn hawafanyi utoto anao fanya.. (Agemate yake sasa ni...
Haha haha...Huko IG post zake nyingi hazinaga wachangiaji, huwa linatafuta sababu za maksudi na kupost ili watu watoe mapovu. Kwake linafurahi kwelikweli kuona post yake imepata wachangiaji zaidi ya 250.. Wajanja tunalitazama tunasema hiiiiiiiiiiii.....
Hope mko salama salimini wadau..
Jamani sijawahi kufanya biashara yoyote toka kukuwa kwangu zaidi ya kazi za kuajiriwa.
Sasa nina kamtaji ka 3,500,000/= lakini kila nikitafakari kukazungusha kwenye biashara, nachelea sana kujiaminisha ni biashara gani hasa ya kufanya.
Hivyo wadau naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.