salaam mkuu,
nina swali kidogo linalohusiani na mada hapo juu,miaka kama 6 iliyopita nilipata opersheni ya appendex...kwa maana hiyo mpaka sasa bado ninaalama ya kisu lakini kiafya nipo njema,nina uwezo mkubwa wakufanya shughuri nyingi zinakutumia nguvu.
Mwakani namaliza varsity,nina mpango wa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,nipo chuo kikuu X mwaka wa pili.
Tatizo langu kubwa ni ukosefu wa kutojiamini mara kwa mara,muda mwingine hata kama nikiwa na watu ambao nimewazidi hadhi i.e elimu,pesa n.k lakini bado sijiamini kabisa!nimejaribu kusoma article mbalimbali za saikolozi{how...
taratibu mkuu..humu jf wanaposema mbeba boksi uwa wanamaanisha wabongo/waafrika wote wanaofanya kazi au kutafuta maisha ughaibuni.kwahyo hakuwa na maana mbaya kwa kutumia neno "wabeba box"
Ahsante kwa taarifa mkuu!!!kozi zao sijazipenda,naoana kuna masomo mengi tu ya kupotezeana muda na kulazimishana SUP!Sasa hiyo PROGRAMMING ya nn sasa kwa muhasibu??????Lazima migawanyiko za fani mbalimbali ueshimiwe bwana.Mtu mmoja huyohuyo asome Programming,account n.k!!!!!unaujua mziki wa C...
Mkuu Pasco kutokana na maneno yako,inaonesha ukweli uliufahamu siku nyingi sana kama CDM ndio chama cha wazalendo.Swali linakuja,kwanini ulikubali kununuliwa na El Kwa bei chee kabisa badala ya kutumia taaluma yako kuelimisha watu uchafu wa ccm??
Au Pasco unapiga chapuo kwa cdm ili uwe...
Akili yako inavyokutuma CDM ni mbowe,zitto,slaa,mnyika na viongozi wengne waandamizi.CDM ni yakila mtu,uwe msomi,maskini,mwanajeshi,magereza,mtumishi wa serikali n.k.Kwahyo hata sisi ni wadau wakubwa wa CDM.
PEOPLES.... POWEEER...
Wapi Pasco??wapi yule aliyetueleza kwamba Mzee Lowasa yupo German mzima wa afya!!
CDM kweli kiboko yao.Naamini mpaka 2014,huyu Mzee kama akigombea urais atakuwa na uwakika wa kula za Monduli tu.
Kuna haja gani ya kuwa na Mzee kama Mtei{makapi} kulopoka hovyo hovyo mbele ya mass??Kiongozi/mwanasiasa makini ni yule ambae siku zote kauli zake hazileti mtafaruku kwenye jamii.
Mzee katuonesha his true color!!!Nafikiri huyu mzee yupo kwenye CC,watu tumepuuza kauli za udini kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.