Search results

  1. H

    ACT Wazalendo kesho kuunguruma na waandishi wa habari

    *TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI* Kesho tarehe 26 Machi 2019, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe atazungumza na waandishi wa habari. Muda: Saa tano kamili asubuhi Mahali: Makao Makuu ya Chama Kijitonyama Dar es salaam. Waandishi wote mnakaribishwa. Ado Shaibu, Katibu wa...
  2. H

    Hotuba ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe, Pemba

    Hotuba ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe kwa Viongozi wa Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Ndugu zangu mliokuwa viongozi wa matawi, kata, majimbo na wilaya wa wilaya ya Mkoani, ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wananchi wa Pemba kwa kumuunga mkono Maalim...
  3. H

    Kuadhimishwa siku ya wanawake lazima kuibue fikra zitazomfungua mwanamke minyonyoro:

    KUADHIMISHWA SIKU YA WANAWAKE LAZIMA KUIBUE FIKRA ZITAZOMFUNGUA MWANAMKE MINYONYORO: Historia: Sikukuu ya kwanza ya Wanawake, inayoitwa "Siku ya Wanawake wa Taifa," ilifanyika Februari 28, 1909, huko New York, iliyoandaliwa na Chama cha Socialist of America kwa maoni ya Theresa Malkiel. Ingawa...
  4. H

    Prof. Palamagamba Kabudi awataka Watanzania kunyamaza kimya

    Profesa anatuibia kupitia vifungu vya sheria Sent using Jamii Forums mobile app
  5. H

    Prof. Palamagamba Kabudi awataka Watanzania kunyamaza kimya

    Prof. Kabudi Mwalimu wangu, sasa amezoeleka kila hotuba zake anajaribu kutumia mistari ya Biblia kwaajilia ya kuhalalisha upotoshaji wake. Mwalimu wangu naomba nikukumbushe kuwa soma mistari hii ya Luka, njia unayotumia kutunyamazisha basi tukikaa kimya hata mawe yataongea, ni wakati sasa...
  6. H

    Fuatilia Live Kongamano la Wazee wa Upinzani

    Majumuisho ya Kongamano la Wazee wa ACT Wazalendo Tazama live
  7. H

    SIASA, FURSA NA HESHIMA by Ado Shaibu

    SIASA, FURSA NA HESHIMA "Mwenezi kuna nini unapata ACT?" "Wanakupa nini?" Maswali hayo na mengine mengi ya namna hiyo ninakutana nayo mara kwa mara kutoka kwa vinywa vya wenzangu, hasa vijana. Wengine huenda mbali zaidi: "Mwenezi ni mtu mkubwa Bwana! Tugawane hivyo wanavyokupa ACT" Katika dunia...
  8. H

    Zitto Atoa Tamko kali Kufungiwa kwa Mawio

    Na Zitto Kabwe. Maamuzi wa kufungia gazeti la Mawio unapaswa kulaaniwa na kila mwanademokrasia. Uhusika wa Marais wastaafu kwenye mikataba ya madini umesemwa na Rais Magufuli Mwenyewe sio Mawio. Hakuna mkataba ulioingiwa bila Baraza la Mawaziri kuidhinisha. Kitendo cha Kamati ya Rais kutuhumu...
  9. H

    Mdahalo wa Twaweza kuhusu Utafiti unaohusu Vipaumbele, Utendaji na Siasa nchini Tanzania

    HUMPHREY POLEPOLE NA WAPISHI WA PROPAGANDA Mimi nimekulia kwenye makuzi mahususi ya kitaaluma yenye kuheshimu mijadala inayojikita kwenye masuala badala ya watu. Lakini leo nitalazimika kuvunja mwiko kidogo na kujadili personality ya mtu kwa sababu kuna upotoshaji unaendelea hapa. Nitalisema...
  10. H

    Kumbe Zitto Kabwe aliyoongea haya fuatilia Mjadala Wa Bunge

    Someni na hii ya mwaka 2010 MJADALA WA KUTUNGA SHERIA YA MADINI 2010 Mkutanoni Bungeni!Aprili, 2010 Mheshimiwa Spika, Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa kunipa nafasi ya kushiriki katika kuchangia Muswada huu kama jinsi mwenyewe ulivyoita kwamba ni Muswada wa kihistoria kwa sababu...
  11. H

    Zitto Kabwe azindua Kampeni za Udiwani Kijichi hii leo

    Hotuba ya KC Zitto Kabwe - Kijichi HOTUBA YA ZITTO KABWE,KATIKA KATA YA KIJICHI JIJINI DAR Ndugu Watanzania Ndugu Wanatemeke Ndugu Wanakijichi HERI YA MWAKA MPYA 2017 Namwomba Mungu, muweza wa yote atupe baraka tele kwenye mwaka huu mpya na kutupunguzia mitihani ya mwaka uliomalizika...
  12. H

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini

    Ukweli na uwazi ni mfano mzuri wa kuigwa
  13. H

    Majibu kwa Mtatiro juu ya hoja yake kuwa ACT ndio kikwazo cha ushindi wa UKAWA

    MAJIBU KWA MTATIRO MCHAMBUZI ALIYEJAA MAHABA HADI ANASHINDWA KUTOA FACT NA KUTUTOLEA VITUKO HADI WATOTO WANAULIZA YUPO DARASA LA NGAPI? Hoja hii hapa ya Kaka yangu Mtatiro ndio inayojibiwa, nimechukua kipande kidogo tu alichoishambulia ACT kuwa imekuwa kikwazo kwa ushindi wa UKAWA na...
  14. H

    Mama Ndalichako ukiufanyia kazi ushauri huu watanzania hatutakusahau

    Ukisoma hoja yangu ya vii. Imesema kuunda tume ambayo itatoa majibu elimu gani inatufaa kwenda nayo, ambayo hili naona litachukua muda kwa serikali hii ya CCM
  15. H

    Mama Ndalichako ukiufanyia kazi ushauri huu watanzania hatutakusahau

    Sikubaliani na wewe kusema kuvishusha tutakuwa tunarudi nyuma kwanini usifikiri kuviboresha ili hadhi yake ipande?? Hivi mnajua taifa letu watu wenye degree ya kwanza hawazidi 5% halafu leo mnawaza kuwa na watu tu wenye elimu ngazi ya kati halafu mnataka tuingie kwenye ushindani na soko la...
  16. H

    Mama Ndalichako ukiufanyia kazi ushauri huu watanzania hatutakusahau

    USHAURI KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KAMA INA DHAMIRA YA KWELI KUTAKA KUBORESHA ELIMU NA HATUA ZA KUCHUKUA ZA UBORESHAJI WA ELIMU: Ili kupanua fursa na kuboresha viwango vya elimu katika ngazi mbalimbali, Serikali inatakiwa kuchukua hatua zifuatazo: i)Kuwahimiza wazazi na walezi katika...
  17. H

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini

    Hizi barabara zitatusaidia sana sisi wa kilimahewa na kigoma kwa ujumla sio lazima tupite barabara kubwa
  18. H

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini

    Nimelishuhudia kwa macho yangu kiukweli inatia faraja sana na Kigoma mpya tunaiona
  19. H

    Tahadhari: Benki nyingi zinaweza kupata hasara na nyingine kufilisika

    i. Serikali imeamua kupandisha nakisi ya Bajeti mpaka 4.5% ya Pato la Taifa na kuziba nakisi hiyo kwa kukopa kutoka ndani na nje. Mwaka 2016/17 Serikali itakopa shilingi 7.5 trilioni ambapo kati ya hizo mikopo ya masharti ya kibiashara itakuwa shilingi 2.1...
Back
Top Bottom