Ahsante mkuu unanikumbusha sisi ndo tulikuwa form one wakwanza pale kiwanja sekodari 2004! Mpaka 2004 wilaya ya rungwe tu ilikuwa na shule za sekondari zaidi ya 15!
Acha argumentation za kitoto! Huyo diwan kama angekuwa naakiri timamu angeyaongea hayo akiwa ndani ya chadema kuprove uzalendo wake! Acha kuwachefua watanzania!
Ifike wakati sasa kujiunga na Jf kuwekunazingatia standards fulani, huyu jamaa hata kiswahili kinamshinda sielewi ni lugha gani ataiweza! Anaandika kama anawaandikia watoto wezie huko facebook!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.