Habari wanajf,mimi ni mkulima wa alizeti,
sijawa na uwezo wa kununua mashine ya kukamua alizeti.
Sasa ningependa kufahamu hizi mashine naweza kuzipata wapi ktk mikoa ya morogoro na Dar,
na bei zake, wanakamua sh.ngapi kwa kilo?
Mtaalam nina mpango wa kuanza kufuga mbuzi!
Hivi mbuzi wa kisasa au wa kienyeji huchukua muda gani mpaka kuzaa na huweza kuzaa vitoto vingapi kwa ujumla?.
Pia naomba unipe ushauri namna ya kuwatunza ili waweze kuwa na afya bora pamoja na kuzaa kwa wingi!
Wanajf nina ndugu yangu amechaguliwa Sua. BVM,Ni yatima hana wazazi wote.
Cha kushangaza tumeangalia jina lake kwa waliopata mkopo hayumo.
Sasa jaman naombeni ushauri tufanyeje ili naye aweze kupata mkopo. maana asipopata mkopo ndo chuo bac tena!
hapo inabid ukawaone maana mi nlim2ma mtu aende kuwaona wakasema mpaka trh tano ndo wataupdate majina ylyobaki.
Lkn mi nliconfirm trh 29 confirmation zlikuwa active.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.