Search results

  1. Y

    Don't Worry, Don't Care, Don't Give a Dam!. Just let then say, Whatever They Say!, Watasema Mchana, Usiku Watalala

    Makala kama ile iliyopelekea ukaitwa bungeni ni mbaya sana aisee. Unatuhumu wabunge kwamba wapo bungeni kutoa huduma za kibinadamu? That was too bad. Hata mimi ningekua Rais ningechelewa au kuacha kabisa kukuteua kwa nafasi yeyote ile serikalini. No wonder pamoja na kujikomba kote huko mpaka leo...
  2. Y

    Rais Magufuli hawezi kujenga bila kuharibu?

    Mi ameniacha hoi kuwataka wananchi kujifukiza. Lol. Ndiyo maana nimeamua hiki kipindi cha Covid 19 sitoi maoni yangu, ni kusikiliza watu na kucheka tu.
  3. Y

    HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?

    Acha uongo na propaganda Mzee. Marekani kama nchi haijaamua ni lini wananchi watarudi makazini wakati maambukizi yakiendelea kuongezeka. Huo uliousema ni uongo. In fact Wamarekani wengi, kwa mujibu wa polls/surveys wanapinga kuruhusu watu kuchangamana sasahivi wakati maambukizi yakiendelea...
  4. Y

    Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus

    Sasa ndo mtalishwa matango pori vizuri sana.
  5. Y

    Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

    Hahahaa! Mimi nakuombea tu upate huo uteuzi unaoutafuta, brother. I know this thread is not about "Technically". Ni juhudi zako pekee na halali na za kisheria kabisa za kutafuta ugali wa kudumu serikalini, baada ya ile biashara yetu iliyokuwa inalipa kodi ya pango sawa na mshahara wa DC kwenda...
  6. Y

    Baada ya ukweli wa Erick Kabendera kubainika, wote walionituhumu kuhusika nimewasamehe kwani Mungu amewasamehe. Msirudie tena!

    Ukweli upi umejulikana. Hakuna kilichojulikana. Kabendera anaweza kuwa ameingia "plea deal" ili mradi tu awe huru lakini ukweli ukabaki kuwa haujulikani kwa sisi watazamaji. Serikali kubadilishabadilisha mashtaka dhidi ya Kabendera mpaka wanakuja kumtoa inaibua maswali zaidi, haionyeshi ukweli...
  7. Y

    Kwani Morogoro kuna tatizo gani?

    Mzee ni lini utaanzisha uzi wenye kichwa mithili ya kama hiki: Kwani Ikulu ya Tanzania kuna tatizo gani ? Raia wa Tanzania na Raia Wengi wa Mataifa Mengine Wamelalamikia Uadilifu na Utendaji Kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam lakini bado Rais aliyemteua Hajachukua Hatua yeyote Stahiki...
  8. Y

    Uchaguzi 2020 Ni Mwaka wa Uchaguzi Mkuu 2020: Kuthibitisha au Kutengua Maamuzi ya 2015?

    Look here, kuna baadhi ya mambo serikali hii inafanya ni mazuri na hata wapinzani wanakiri. But call a spade a spade. Kinachoendelea nchini sasahivi siyo "mivutato" tu. Ni full-blown dictatorship. Marufuku inatangazwa na ukienda kinyume unakamatwa unawekwa ndani. Au unabambikiwa mashtaka yasiyo...
  9. Y

    Uchaguzi 2020 Ni Mwaka wa Uchaguzi Mkuu 2020: Kuthibitisha au Kutengua Maamuzi ya 2015?

    Inaonekana kama the only mpiga kura ambaye haki zake za utu na za kisiasa zinaheshimiwa angalau kidogo ktk utawala huu ni yule "anayeunga mkono juhudi". Kwa wengine waliobaki unaweza jikuta hata "unapotea" kwa kutokuunga mkono juhudi. Hiyo tu ikupe picha kama uchaguzi wa mwaka huu utakuwa...
  10. Y

    Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake

    Kaka Paskali vipi? Unasema unamfahamu vizuri mwandishi Kabendera kama mwadishi wa habari halafu unaongelea kwa kirefu wasifu wako mpaka kufikia kuwa mwandishi wa habari huku ukiacha kuelezea kiundani wasifu wa Kabendera kama mwandishi wa habari.
  11. Y

    Tragedy of the commons in Tanzania political life: Wakati wa mateso yako, uko tayari kusimama peke yako?

    Ujamaa ndo tatizo. "Free rider" problem is common among people with a "ujamaa" mindset. Kwamba hata kama familia nzima hatujasoma, yule kaka mmoja aliyesoma atatunufaisha wote. Tena nyinyi mlio wengi ndo mnabweteka kabisaa kwasababu tu mna mmoja anayejiweza. Matokeo yake hata huyo mmoja naye...
  12. Y

    Swali Butu: Mambo haya 4 Magufuli anayafanya tofauti na Marais 3 waliomtangulia! Nani anabisha?

    Duh! What a joke. Eti Magufuli haogopi sura, wakati huohuo Magufuli amemuacha Makonda pamoja na kashfa zake zote, mojawapo ni hoja ileile ambayo Mwanakijiji wewe mwenyewe uliisemea: Makonda kuingiza kontena la samani za shule na ofisi nchini kinyume na maadili na sheria za nchi. Halafu eti...
  13. Y

    Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

    That doesn't exculpate Magufuli though. He is as guilty as his predecessors. You don't point that out because you like him for other reasons. You only point out "technical errors" by Wapinzani, despite the fact that you are fully aware that the bigger issue is Magufuli's brazen crack down of...
  14. Y

    Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

    Very well stated. Makosa madogomadogo ya upinzani yanamezwa na ukweli kwamba CCM tayari wanatumia nuclear option ya kukata majina mengi ya wapinzani yasiyo na kasoro yeyote. Mzee yupo biased mpaka anaboa.
  15. Y

    Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

    Mimi nilishawahi kufanya kazi kama election observer Tanzania huko nyuma. Mwanakijiji you know nothing about the dangers of fighting a ruling party at the grass-root level in a repressive regime such as Tanzania. Hizo stories unazosoma mitandaoni kwamba wapinzani eti walikuwa wanaongoza kwa...
  16. Y

    Four Years Later: My Reflection on President Magufuli: A Double Measure of Boldness and Dare

    First, please next time edit your commentary before you post it. You write inefficiently, with too many grammatical mistakes that could easily be captured by a computer grammar correction tool on a word application. Second, throughout your commentary you deliberately gloss over the damaging...
  17. Y

    Wakuu mnaoshusha nondo JF hamuwezi toa nondo juu ya dots fulani fulani ili akina Saanane na Azory wapatikane ?

    Utakuwa unakosea kwasababu hata wewe hujaonyesha, hata kwa dalili tu, kwamba unaweza kuthibitisha kuwa alichoandika ni "bandwagon fallacy".
  18. Y

    Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

    Hahahaaa! Walimpa wao kichaa rungu. Sasa naona hawana mbinu madhubuti ya kumdhibiti kichaa zaidi ya kutumia mbinu ileile tunayoitumia Watanzania wengi ya kulialia tu kupitia keyboard. Bongo "raha sana".
  19. Y

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha viongozi walioteuliwa. Mathias Kabunduguru, Godfrey Mweli na Ali Sakila

    Unawashwawashwa? Wewe mwenyewe hujaleta 'facts' zozote kuhusu afya ya Rais wetu Mh. Magufuli. Sasa hizi nyuzi zako zisizoisha kuhusu kutetea hali yake zinasimama kwenye msingi gani? Angalia, wanaume tupo; tutakukuna vizuri sana tu, eh.
  20. Y

    Uchaguzi ni wa nini basi?

    Kiongozi yule hatakuelewa. Anaamini kabisa kutoka moyoni kwamba demokrasia inachelewesha maendeleo na kwamba yeye, so mwingine, ndo mtume aliyekuja kuleta maendeleo.
Back
Top Bottom