Mimi naona bora tuseme tu ukweli, hawa latra naona wanajitahidi sana ukilinganisha na kero zilizopo katika sekta, nimeshapiga simu mara kadhaa na kupokelewa na hatua zikachukuliwa, nimeona wameweka hadi namba zao za mikoani na za viongozi katika intagram story yao ya latra_tz na wanajibu hadi...
Uko sahihi, kifaa kinauwezo wa kutoa taarifa za mambo mengi ikiwemo taarifa za gari kupinduka, kugongana au kwenda nje ya njia iliyoruhusiwa. Taarifa hiyo inamfikia mmiliki wa gari husika, LATRA na Polisi
Kwa hali hii Latra tunawaonea bure. Kuna baadhi ya madereva wa mabasi pia wanafanya michakato ya kugomea wasisajiliwe wala kuthibitishwa na latra, ili waendelee na uharamia wa kuhatarisha maisha ya watanzania bila kuadhibiwa.
Kwa uhalisia mfumo huu haujafeli, ila mifumo yote iwe ya serikali au binafsi hutokea kupata hitilafu za mara chache. Kwa sababu hizo ndomana wataalamu wa TEHAMA wapo kwa kila mfumo na wanatatua tatizo linapotokea.
Kwa mfano huu mfumo wa LATRA kwa sasa tunautumia na unafanya kazi vzr tu.
Lakini...
Katika mjadala huu ni vzr pia kujua majukumu ya taasisi hizi: TEMESA, TASAC ambayo ni Shirika jipya la Wakala wa Meli na SUMATRA ambayo kwa sasa inadhibiti usafiri wa nchi kavu pekee
Taarifa hii ni ya Uongo, tembelea tovuti ya www.sumatra.go.tz au kurasa ya facebook au twitter ya SUMATRA, walishakanusha tangu April 2018.
Kuhusu kutokuwa na nauli mpya tangu 2013 ni sahihi kabisa kuwa bei za ukomo zilizotolewa tangu mwaka huo hazijapanda.
Hii ni kwa kuwa vigezo vilivyotumika...
Jibu la awali limejitosheleza kujibu hoja yako. Kwa sasa naona umehamia ktk kutopewa nafasi ya kujieleza baada ya kuona ulichodai awali ni uongo mtupu wenye lengo la kupotosha.
Wataalam wa SUMATRA wanafanya kazi kwa utaratibu. Gari husimamishwa na Askari wa Usalama Barabarani mwenye SARE (Afisa...
SUMATRA hufanya kazi zake kwa kuzingatia uweledi. Miongoni mwa wafanyakazi wa SUMATRA ni wahandisi wa mitambo na ujenzi katika sekta ya reli, wahandisi wa mitambo na wataalamu wa udhibiti, usimamizi, ukaguzi na uendeshaji katika sekta ya usafiri wa Barabara.
Aidha kuna wanasheria, wachumi na...
Hi wana jukwaa, hivi maeneo kama Kivukoni, Bungeni n.k ambapo wamepiga marufuku kupiga picha ni kwa sababu gani? Na sometimes akipiga mzungu wanamuacha hawamsumbui kama mtz. Natanguliza shukrani kwa majibu mazuri
Hi wana jukwaa, hivi maeneo kama Kivukoni n.k ambapo wamepiga marufuku kupiga picha ni kwa sababu gani? Na sometimes akipiga mzungu wanamuacha hawamsumbui kama mtz
Wadau juzi nilisoma tangazo hili hapo juu yalipo matangazo ya dume na bank kwa sasa, naomba mnikumbushe hawa jamaa duka lao liko jengo gani? sikumbuki vzr kama ni kariakoo, au plaza gani posta. pls help
May be tofauti inatokana na ukweli kwamba kazi ya ualim haina risk ya ushindani ktk kutafuta kazi (almost direct employment), na fani ya ualim imewekwa as a lee way kwa waliofeli au wanao ogopa ushindani wa kutafuta kazi, unlike fani zingine nyingi.
Mimi naona kuvumiliana katika dini imekua tatizo kubwa kwetu, kwa mfano juzi nilikuwa nafuatilia thread iliyopewa jina la BAKWATA kutoa tamko la kugomea sensa kusipokuwa na identity ya dini, maelezo yalitoa hoja za waislam. Hata kama mtu aliziona ni dhaifu mimi nilishangazwa na lugha inayojeruhi...
Mi naona mambo ya simu na product zingine za watu binafsi tuwaachie kila mtu ana maamuzi yake. Kipato kikiongezeka ndo utajua kwa nini jana ulimshangaa aliye nunua product ya bei juu zaidi. Ila tuangalieni na serikali ambayo kila mwaka wana badili model za magari kwa mamia ya mamilioni ya pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.