Jamani nahisi mimi nimeshindikana!
Kuna vitu ambavyo wengine huwa wanateseka kuvipata lakini mimi wala huwa sina muda navyo japo naweza kuvinunua kirahisi, mfano:
1. Kitanda... Mimi huwa nikiweka godoro chini na shuka kwenye chumba safi naweza kukaa miaka yoyote bila kununua kitanda
2. Simu...
Lakini mnatulaumu wa daslamu bure. Sasa nile nusu kilo naenda kufanya kazi gani inayohitaji msuli? Kijijini mkila kilo Tano Kwa siku sawa mnalima mkishindana na trekta. Sasa mimi nikeshakula naingia kwenye VX naenda bar au nyumbani. Unaona tofauti hapo?
Inategemea madhabahu yako umeiandaa wapi! Nimeona watu wapo madhabahuni wanatongoza wake za watu ibada ikiendelea. Kuna siri kubwa sana na vinavyoitwa madhabahu kwenye hizi mainstream churches. Ukienda kanisani angalia kwa macho ya rohoni utaona vitu vingi vya kuogofya kwenye sadaka na madhabahu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.