Search results

  1. M

    Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Walishaomba... Znz sidhani kama wana haja na muungano
  2. M

    Takwimu: Mtu mmoja anakunywa pombe lita 10.4

    Elewa mkuu ushimen hiyo ni average, mnakunywa hata za sie ambao ni walokole
  3. M

    Nilipowaona Jamaa na Konyagi nilijiuliza

    Pombe ni sumu... Drink at your own risk
  4. M

    PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

    Hongera sana Boniface Jacob kwa kufichua hili. Kazi kwako DPP kuhakikisha haki inatendeka
  5. M

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Watakuwa wameiga nchi nyingi za ulaya kama uingereza. Hata Japan nimeona wanapanga foleni
  6. M

    Naomba kujuzwa gharama za kipimo cha DNA

    Aandae laki tatu na elfu hamsini hivi. Watatu Kila mmoja laki, elfu 50 nauli za kumsafirisha afisa kwenda kwa mkemia na mambo mengine madogo madogo
  7. M

    Naomba kujuzwa gharama za kipimo cha DNA

    Anzia ofisi yoyote ya kata au wilaya umwone afisa ustawi wa jamii. Ndani ya wiki Moja utakuwa umeshapima
  8. M

    Vitu ambavyo vinawasumbua na kuwagharimu wengi ambavyo huwa naviona havina nafasi kwangu

    Jamani nahisi mimi nimeshindikana! Kuna vitu ambavyo wengine huwa wanateseka kuvipata lakini mimi wala huwa sina muda navyo japo naweza kuvinunua kirahisi, mfano: 1. Kitanda... Mimi huwa nikiweka godoro chini na shuka kwenye chumba safi naweza kukaa miaka yoyote bila kununua kitanda 2. Simu...
  9. M

    Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

    Mshahara wa mtu ni siri yake na mwajiri wake
  10. M

    Uzi maalumu wa kusaidiana matatizo ya kiakili

    https://www.google.com/amp/s/www.bbc.com/swahili/habari-45807442.amp
  11. M

    Uzi maalumu wa kusaidiana matatizo ya kiakili

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/-vijana-17-24-wakabiliwa-na-tatizo-afya-ya-akili-3641558
  12. M

    Uzi maalumu wa kusaidiana matatizo ya kiakili

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/watanzania-milioni-saba-wana-matatizo-yanayohusiana-na-afya-ya-akili-3578210
  13. M

    Ila nyie watu wa Dar es Salaam ni wachoyo sana kwenye chakula

    Lakini mnatulaumu wa daslamu bure. Sasa nile nusu kilo naenda kufanya kazi gani inayohitaji msuli? Kijijini mkila kilo Tano Kwa siku sawa mnalima mkishindana na trekta. Sasa mimi nikeshakula naingia kwenye VX naenda bar au nyumbani. Unaona tofauti hapo?
  14. M

    Ila nyie watu wa Dar es Salaam ni wachoyo sana kwenye chakula

    Afadhali hao kuna chai ya rangi na kitumbua tuwili... Hapo ni mpaka jioni
  15. M

    Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

    Inategemea madhabahu yako umeiandaa wapi! Nimeona watu wapo madhabahuni wanatongoza wake za watu ibada ikiendelea. Kuna siri kubwa sana na vinavyoitwa madhabahu kwenye hizi mainstream churches. Ukienda kanisani angalia kwa macho ya rohoni utaona vitu vingi vya kuogofya kwenye sadaka na madhabahu
  16. M

    Je, Mwanaharakati huru Musiba ni role model wa vijana wa CHADEMA?

    Huyo si alikuwa mwanaharakati wenu. Mnataka ahamie CDM tena?
Back
Top Bottom