Ni mkopo ndiyo; lakini kumbukeni kila senti wanayokopa wabunge serikali huchangia 50%. Wakichukua Tshs 120m kumbukeni serikali itatoa ruzuku ya Tshs60m kwa kila mbunge.
I would like to hear from a truly Tanzanian,particularly our president of URT, telling the US president that at this moment Tanzania is looking how is going to help America. It high time Tanzania stands firmly and proudly that, we are able to help other developed countries, including USA. With...
Ndugu wana JF, sielewi kwa nini tunafanywa tuamini kuwa CDM wangeweza kudiriki kutaka kujiua wenyewe au kudhuru viongozi wake au hata wanachama wake. Ni mtu tu aliyefilisika fikra ndo anaweza kuwaza hayo.
Haidhaniki wala kuja akilini kwamba CDM hawakujiamini kiasi hicho cha kutakupata ushindi...
Hakika hatuna kiongozi na msimamizi mkuu. Huyu bwana si ndiye aliyewahi kulia hadharani?? Tena akasema atayekutwa au kutuhumiwa kuua maalbino naye auawe hapo hapo?
Nasikia huyu bwana ni mwanasheria kitaaluma. Kama kweli ni mwanasheria nguli basi ni doa kubwa kwa taaluma.
Ni lini Tanzania mtu kama Edward Moringe Sokoine??? Mtu atakayesimama na kusema jambo, jamii nzima ikakubali ns ardhi kutetemeka kwa kauli zake? Ni lini Tanzania itampata PM aliye mtu watu?
Haiwezekani. Kwani nini kilikuwa chanzo cha wenzetu kule Misri na Tunisia. Jamii kukosa uvumilivu dhidi ya utawala dhalimu wa serikali dhidi ya raia wao wasio kuwa na hatia. Ama kweli watanzania tu wapole na kondoo sana. Sehenu
Sehemu nyingine duniani maandamano yangekuwa yameshaeenea nchi...
Haiwezekani. Kwani nini kilikuwa chanzo cha wenzetu kule Misri na Tunisia. Jamii kukosa uvumilivu dhidi ya utawala dhalimu wa serikali dhidi ya raia wao wasio kuwa na hatia. Ama kweli watanzania tu wapole na kondoo sana. Sehenu
Sehemu nyingine duniani maandamano yangekuwa yameshaeenea nchi...
Ndugu zangu wanasiasa na hasa viongozi wakuu kutoka chama tawala cha CCM, tambueni kuwa Tanzania ni nchi nzuri, ya amani na tulivu. Kwa hiari yetu tulikubali kuingia katika mfumo wa vyama vingi. Bila shaka viongozi na wanachama wa CCM, wanatambua kwa nini tuliamua kuingia katika mfumo huu...
Inapofika Waziri Mkuu,aliyemsimamizi na mtendaji mkuu wa shughuli za serikali na kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, anafikia kusema aliyosema, wazalendo na wanademokrasia wa kweli hawaamini masikio yao.
Ni huyu huyu hivi punde tu (alipoteuliwa kuwa PM) alijitambulisha kama mtoto wa...
Cdm inapitia majaribu, lazima wana Cdm wote tusimame imara. Tupo nyuma yako kamanda, na pole sana kwa ajali. Tunakutakia recovery njema ili urudi kwenye mapambano. Wana Cdm na jamii yote wapenda amani, wapambanaji wote tutambue kuwa mara baada ya majaribu yote haya mwanga wa matumaini na ushindi...
Kugombea uchaguzi 2015 kwa bwana Lowasa ni karata tosha kwa upinzani kuibuka kidedea. Acha mzee wa Kiraracha aanze kumfanyia kampeni, lakini aibu inamsubiri.Lakini jamii budi iwaogope na kuwakemea watu wanaojipotisha lep kwa mgongo wa harambee ilihali hizo ni kampeni za kisiasa.
Mimi nadhani Mwl J K Nyerere hakuwa muumini sana wa mavazi, eti uhalisia wa mtu unajikita katika kuvaa kwake, ndo maana hakuona umaana hasa wa kuvaa hiyo rangi ya chama. Falsafa ya chui kuvaa ngozi ya kondoo ili hali ndani ni chui nadhani ni moja ya vitu ambavyo Mwl hakuvitilia umuhimu.
Matendo...
Masuala ya dini ni ya mtu binafsi. Ni imani yake mwenyewe. Imani yake hiyo haina haja kwa mtu mwingine kujihusisha nayo, na wala Serikali (dola) haina sababu kujihusisha nayo
Katikati ya mjadala, mmoja wetu anaingiza u-chadema. Hili ndo tatizo letu.
Tuijadili hoja ya mwenzetu: kwa nini waislam wapo nyuma sana, kwamba tangu tupate uhuru mwaka 1961, ni hivi karibuni ndo wanampata Jaji Mkuu wa kiislamu, eti serikali ndo iliyowakandamiza.
Swala au jibu hapa ni rahisi. Ni...
Pengine Oman na nchi nyingine za kiarabu upanga ni alama yao ya heshima, kama ilivyo kwa baadhi ya wakuu (machifu) makabila hapa Afrika. Mkuki, ngao na kigoda ni alama zao. Leo hii kiongozi mkubwa wa kitaifa au kimataifa kama atazuru baadhi ya makabila yetu na kuonyeshwa ana thaminiwa sana basi...
Taifa letu ni kama familia au ukoo, wenye baba, mama, watoto na jamaa wengine. Familia hii na ukoo huu, hukaa pamoja katika raha na huzuni. Hufurahia mafanikio ya familia na huhuzunika pamoja pale familia inapopata shida au tatizo. Aghalabu, vi vigumu kuona mwanafamilia mmoja, tuseme baba au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.