Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wa santakalawe kwelikweli mtu anaingia na majina anayotaka yeye halafu ili iweje. Mwisho figisufigisuufukunyungu ndo hapa
utasikia mara shangazi kafa, mjomba mgonjwa, baba mdogo mara binamu kumbe anaenda kufuatilia madili yake. kazi inayomlipa mamilioni ndiyo inayompa jeuri ya mtaji wa kuwekeza lakini hana committment nayo. hawa watanzania ni wa kupiga kipeo cha pili naam cha tatu atoke kwelikweli halafu anunue...
uyu igwite ibyata maanake ameshiba anabeua msamehe mwenye shibe hamjui mwenye njaa. mtu ukimkaribisha sebuleni anataka aingie chumbani kosa ukimkaribisha chumbani atataka hata stahiki yako iwe YAKE. MUACHENI AENDELEE KUBEUA WATANZANIA WANGAPI HAWANA FURSA KAMA YEYE AU YEYE ANA HAKI KULIKO...
R1 ULE MPANGO WENU KUIFILISI NCHI HAPA NDO KIKOMO CHAKE. ULIZOEA KULA BATA BILA JASHO UTAKULA KWA JASHO. WEWE SI NDIYE CEO WA MAKAMPUNI YA FAMILIA YENU? TAKE CARE WATZ SIO MAJUHA WAKAAMINI MANENEO YAKO KWA VYOMBO VYA HABARI. MOYO WAKO UNMAJUA UKWEL;I. NI HERI UAKE KIMYA WATU WATakuona muungwana...
MBONA WAZENJI WAMETAMALAKI SANA KTK SERIKALI YAKE./INA MAANA WAO WAMEKUWA SHUJA LIWALO NA LIWE HAWANA CHA KUPOTEZa ? WOGA WA WABARA UMEWASAIDIA SANA SASA WIZARA YA UJENZI SI NI YA TANGANYIKA JAMANI>?
atakumbukwa kwa kuwa na tamaa ya madaraka hadi alivuka umri wa utumishi wa umma. Nafikiri ni sahihi kwake kuanza kuandika vitabu kwanza amechelewa sana kufanya hilo. Mungu tu kampa maisha marefu tanzania ya leo kufikisha miaka >70 ni bahati sana
mimi naona dr kigwangallah anakuwadriven na mihemko ya hisia binafsi kuliko manufaa yanayoweza kupatikana na motives zake, mara kufunga milango ya kuingia ofisini hii inasaidia nini zaidi ya unafiki. nafikiri angeenda mbele zaidi kwa kuangalia effective time management sio kwa kuwahi tu lakini...
mimi naona dr kigwangallah anakuwadriven na mihemko ya hisia binafsi kuliko manufaa yanayoweza kupatikana na motives zake, mara kufunga milango ya kuingia ofisini hii inasaidia nini zaidi ya unafiki. nafikiri angeenda mbele zaidi kwa kuangalia effective time management sio kwa kuwahi tu lakini...
hii inatokana FIGISUFIGISU ZA UPATIKANAJI WAO MAJIMBONI INAKUWA NGUMU KWA MKUU WA NCHI KUWATEUWA WATU AMBAO UWAKILISHI NI KIFIGISUFIGISU HIVI. MM NAMUUNGA MKONO ATEUE TU PENGINE NA MIMI ATANITEUA KTK NAFASI ZILIZOBAKI
NAUNGA MKONO HOJA 100% NI KIKWETE TU HAWEZI KUMKUBALI GENIUS 'COS AN ALLERGY YA WATU KAMA HAO AMBAO NI HAZINA YA TAIFA. NI WAKATI MUAFAKA SASA KWA RAIS JPM KUAMSHA ILE ARI YA WENYE VIPAJI KUAMKA NA KUVITUMIA KWA FAIDA YA TAIFA HILI.i
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.