Utaribu wa kuwa na F 17 unaelweka na unapaswa kufuatwa. Lakini kutokana na utunzaji wa record ulivyo manually na kwa asilimia flani tabia ya watu wetu ya ujanja ujanja na kutokuwa wakweli, mda uliopo hautoshi ku update records.
Kuongezeka kwa Mikoa na Wilaya Mpya kwa nadharia ni maendeleo. Ilipaswa kukua huku kuendane na Uchumi. Kinyume chake hali ya uchumi haiakisi haya makuzi.
Kama Taifa tuwe na vipaombele. Haya ya mikoa mipya hayana uharaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.