Niliwahi kusema kuwa kutuonyesha nyumbani kwao na mhe sio kipimo cha uadilifu kwani kuna watu wana majumba ya kifahali hadi nje ya nchi lakini kijijini kwao hajafanya kitu. Kwani wangapi humu jf tuna nyumba mijini lakini home hatujaweka kitu?
Wengi tunajua vijijini kwetu maji shida, umeme ni...
Mkuu 1800, you have a point. Ndicho ninachokiona pia, infact mimi nilikuwa naombea mahakama ifanye kama ilivyofanya ili jamaa abaki kifungoni (cdm) mpaka 2015, atakuwa ni wa kusikika bungeni tu na mbunge wa fb. Mwisho wake kisiasa ndio umewadia, bado nasema Dr Kitila ameonyesha ukomavu katika...
Ndivyo ilivyo in other way around! kumbuka zzk anataka hatima ya uanachama wake isijadiliwe, na ubunge wake umedhaminiwa na uanachama wake! na kimsingi sio kama hataki kujadiliwa hataki kunyang'anywa uanachama na hivyo kulinda ubunge wake.
Hilo la msingi mkuu, watu wasije wakazipa emotions zao nafasi kuliko busara! kama mahakama itatetea ubunge wake wamuache awe mbunge wa kuteuliwa na mahakama!
Mkuu LIBRARY, tofauti ya tozo la kodi na hiyo caller tune ni kwamba caller tune ni optional wakati kodi sio optional. Sitaki kuamini kuwa kila mtumiaji wa simu nchini anatumia huduma ya caller tune (hata mimi mwenyewe situmii hiyo huduma japokuwa kipato changu zaidi ya dola 10,000 kwa mwaka). In...
Namna hii ya uropokaji wa Nape ndiyo iliyomfanya mwenyekiti wake aonekana kuwa na hofu Nape, kuwa huwezi kujua Nape atasema nini katika kila jambo! Yani hukurupuka kama vile katoka usingizini. Ushauri wangu ni kuwa CCM wampatie mshauri ili awe anashauriwa kabla ya kuropoka
Hii inadhihirisha jinsi CCM na viongozi wake walivyo vilaza. sasa kama viongozi wa chadema ni form four F na watu wa divinity amboa pia ni wachache wasio na weledi lakini wanawatoa mapovu CCM na viongozi wao wasio form four F na divinity, wenye weledi na wengi. Unapata conclusion gani?
1. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.