Jamaa anasema alipata taarifa za wasanii wengi sana wakipaza sauti zao kwa umma kuhusu kutekwa kwao. Je alisoma kwenye mitandao au nani alimwambia hayo?
Je simu zao zilikuwa wapi wakati wote wakiwa mateka? Roma anasema hajui walikotupwa lkn baadae akijifungua then akawafungua wenzake wakaanza...
Daah! Watanzania wameamua kutumia njia mbadala kufikisha ujumbe kwa mkuu. Naanza kuamini kwamba social media zina nguvu kweli kweli.... haya tusonge mbele tusikilize matamko toka juu....nitarudi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mimi ningemshauri Paul Makonda aoneshe vyeti, hii itaondoa utata na figisufigisu zote hizi. Kukaa kimua hivi wkt jamii yote imeamka inakuwa siyo jambo jema sana. Amefanya mengi Dar.
Hili la vyeti ni ktu kidogo sana kwake kuudhurishia umma kwamba yeye ni mtu safi asiyependa siasa za sifa za...
Wanatapatapa tu bafo hawajajua mizizi ya usaliti ilianzia kwa nani na itaishia wapi. Usaliti upo kila mahali hata wakifukuzwa bado siyo dawa ya usaliti,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.