Saivi kila mtu anamiliki shule bado mimi tu ila bora wafike kwetu km kadhaa porini ndio ukute shule ikitokea ht baiskeli unashukuru br hao,MUNGU WE WAJUA TUBARIKI WANAO.
Siku ambayo Wana Arumeru wanapiga kura kumchagua mwakilishi wao bungeni,naamini muda wa mabadiliko umewadia tuelekee katika maendeleo chanya ya nchi yetu miaka hamsini ya uhuru imetufungua kujua nchi inaelekea wapi wapiga kura wa Aremuru ndio wataamua maisha yao yawe ya gharama gani kwa...
Thanks mzazi kwa kufunguka,kiukweli LUNDUNO,ndo hip hop ya Tz huwezi kucompare hao ma mc na na r chuga promo mc,ni nani asiyejua 'ndio zetu'ya N2N ilikuzwa na beat na promo pia River Camp ni wasanii wa clouds coz Adam na B wametokea chuga tunapozungumzia hip hop tunamaanisha counscious...
Hi wana jf,natumai mko poa nafikiri ni wakati sawia kueleza haya kipi kitakuwa bora kuonyesha mapenzi ya dhati kwa msichana na kukubaliana na vyote atakavyorespond au kutojihusisha na suala la mpz na kubaki kula kwa macho nakuteseka na mpz cjui mpz yanataka nini au bac tubalehe kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.