if and if opinions,ideas,perceptions,utopians, and all other kind of tanzanian dreams converted to the tangible practice mh nadhani tungekua mbali vibaya ebu 2punguze longo longo jama kama ni barabarani tuingie but am doubt na hii taarifa ukweli wake."tubelight lionchawene"
kama lisinde alitukana nakila mtu alisikia ila ccm wakasema no hakutukana ila alikua anakipamba chama je ni kweli mnategmea leo kuna mtu atkwaambia nape katukana? MNANICHEKESHA
sijui taaluma ulonayo we uliepost hii thread ila ninachojua we si mwalimu manake umeonesha kuwaponda but nataka ujue you can not value any profession if your mind is not brushed with some body and is the only teacher who can do that ila naona umesahau kidogo kwamba aliekuwezesha kuimba hiyo...
ehuu natamani hi habari iwe ni ya kweli bandugu coz no source naona watu wanathrd kama hawana akili nzuri in fact umenikumbusha moja msiba ulioitesa nafsi yangu 2012.
Eti wazee 300 wananiuliza ninakoelekea wanifate. jaman huu ni uongo wa Maige na kama ni kweli stil kuna watz ambao wana uvivu wa kufikiri kupita kiasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.