Highness mwenyewe akuwepo kwenye tukio analolisema amelithibitisha,na kwa taarifa zilizopo ingawa hazina uhakika ni kuwa mbunge alikua amelewa usiku huo..............
Acha kupotosha umma wa waTanzania,Jack Masamaki hajakamatwa na mtu yoyote..hizo habari ni za uhongo na Mbunge wa ilemela ndo anaye eneza uo uhongo wakati kunatetesi kua jana usiku alikua amelewa sasa kama ni kweli ivi mtu aliyelewa anaweza kweli kuto habari za ukweli?...
Hakuna mtu mwenye uhakika kua Jack Masamaki(mgombea wa udiwani kirumba,mwanza) alikamatwa usiku wa jana kwa kosa la kugawa pesa,na bado mbunge wa ilemela anathibitisha kua ni kweli kupitia mwandishi wa gazeti la mwananchi je mbunge huyo alikuwepo eneo la tukio au anasikia tu?na kwa habari...
Hayo maneno ndo kwanza nayasikia kwako...Jack masamaki ajapigwa na mtu yoyote acheni kueneza habari za uhongo zisizo na uhakika,na hayo maneno unayosema wanakirumba wamesema mbona me mwanakirumba sijasema...ulikuwepo alivyokua anapigwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.