Search results

  1. K

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    hongera lema!
  2. K

    CCM Dar yapata Mwenyekiti Mpya; ni Ramadhani Madabida

    du balaa msd watasukumiwa issue zote za arvs fake maka madabida ameshika mpini
  3. K

    Madaktari waache kutumia uhai wa watanzania kudai maslahi yao!

    mie naona drs wana genuine demands,ila chonde chonde nawaomba drs muwasihi wafamasia waache kuzifisadi na kupeleka kwenye pharmacies zao dawa chache zinazotoka msd
  4. K

    TUCTA: Wafanyakazi kugoma nchi nzima kama kodi isipopunguzwa na mshahara kuongezwa

    hawa TUCTA hawako consistent kwenye madai yao,mbona kwenye mgomo ule walipoitwa wana akili za 'mbayuwayu' madai ya kima cha chini ilikuwa 315,000/= ,sasa hiyo minimum wage ya TZS 200,000/= inatoka wapi tena?
  5. K

    Wahamiaji Haramu 42 Wafia Kwenye Container Dodoma.Jee Mipaka Yetu iko Salama?

    vp wamepitaje kwenye mipaka yetu kuingia tz? Kweli uhamiaji wanaifanya tz kuwa shamba la bibi
  6. K

    Kwa Wanasiasa: Kwanini tunauziwa viwanja bei ghali 2-8mil kwa bei ya serkali?

    hata kwa bei hiyo ya juu bado hakuna fair distribution wanagawana wenye nchi,kwa mfano,viwanja vya gezaulole mgao wake mlalahoi kupata kiwanja ni next to impossible
  7. K

    Siasa za Mzumbe hazijengi! Mzumbe kuna Tatizo: Elimu inashuka, Ufisadi unatamalaki

    tatizo pale mzumbe dsm campus kuna program za masters tu(hakuna undergraduate) na most of the students wanatoka makazini na wako off-campus hivyo wana muda mdogo wa kujishugulisha na issue za students association ,wengi wanakimbizana na kufukuzia pesa mtaani na baadae shule hivyo ultimately...
  8. K

    TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

    inaonekana mleta thread ume-base kwenye hisia na 'hearsay',tupe chanzo cha hizo allegations zako kama ni utafiti au vipi? Inaonekana uko frustrated na competition iliyopo kwenye labour market Hivyo jina la chuo ulichosoma siyo issue bali unapaswa ku-prove competence yako ili upate opportunity...
  9. K

    Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

    ingependeza hiyo wizara ya uchukuzi ikaweka public hiyo report ya 'probe team' iliyotajwa na chizi make ndiyo ita-reveal facts zote,OTHERWISE,wachangiaji wa jf wataendelea kuchangia based on partial information na kuishia kuwa biasef
  10. K

    Ujenzi wa barabara ya kilwa umerudiwa?

    mkandarasi alishaanza kazi kati ya mbagala kizuiani na zakhem,nenda mtoni mtongani kuna bango likielezea mkandarasi anayekarabati
  11. K

    Ujenzi wa barabara ya kilwa umerudiwa?

    mzee unaonekana hauko informed,mkandarasi alishaanza kazi ya ukarabati(remedial measure) wa kilwa road tangu last week
  12. K

    Kukodisha Airbus ni mkataba wa kipuuzi - Mwakyembe

    mwakyembe anachapa kazi lakini ushauri wake kwa chizi juu ya kupokea malipo ya insurance nje ya account za atcl,hauku-sound ki- professional
  13. K

    Paul Chizi wa ATCL asimamishwa kazi

    ndugu www, Nakupongeza kwa kutupatia ufafanuzi kuhusu wafanyakazi waliokumbwa na hatua ya kusimamishwa na mwakyembe,hata hivyo,umeonyesha kuwa 'biased' kwa kuonyesha chuki ya waziwazi kwa Wahaya kwa kuwawekea msisitizo wa kuwa wao ni 'enshomile',mbona eng.ringo hujamuita 'mangi'? au ni watani...
  14. K

    Malipo TRA

    TRA hakuna fairness coz wata wanunua ajira hadi tsh. 4 million kwa post za kawaida kama account assistant.wanavunga ku outsource kwenye learning institutions lkn mwisho wanachakachua kila kitu
  15. K

    Baada ya Zanzibar Bukoba

    mleta mada naona umechemsha na thread yako haina mashiko, kufananisha matukio yanayotokea znz na mifano uliyoelezea bukoba ni vitu tofauti kabisa.sijawahi kusikia wenyeji wa bukoba(wahaya) wakipigania kujitenga ili wawe huru kutoka Tanzania ,khali inayojitokeza zanzibar.Ni kweli Tanzania bado...
  16. K

    Dr. Slaa aiumiza CCM

    nape vuvuzela tu
  17. K

    Takukuru nini tatizo kila siku mnashindwa?

    kazi kwelikweli! hosea si aliwahi kusema bwana mkubwa alishamzuia ku deal na grand corruption? Pengine ndo sababu
  18. K

    Ufisadi - bohari kuu ya madawa (MSD)

    Tatizo kama nchi na serikali, hakuna mipango na sera madhubuti, ila tuna sera za kuifanya kigoma wa dubai...........??????? Mie nakubalina na mchangiaji aliyesema tuna tatizo la kisera ambalo kwa kiwango kikubwa linaiathiri hata msd katika suala la upatikanaji wa dawa na vifaa...
Back
Top Bottom