Mkuu hamna biashara isiyo na changamoto,kama unaogopa changamoto Fungua fixed deposit weka pesa yako,pia hata benk zinazotoa rate kubwa siku unataka hela yako,hawana hela wanakupiga kalenda !biashara ya coaster ni nzur sanaaa,cha muhimu upate dereva mwaminifu!unakuwa umemaliza,kwanza dereva...
Wakuu heri ya sikukuu ya Noeli,nlikua naulizia bei ya tifali za interlocking kwa sq meter ni kiasi gani?pia ukilinganisha na hizi tofali za kawaida kuna unafuu kwa kiasi gani??nipo dar wakuu.
Mkuu mshana jr hongera sana,hii kitu nimeisoma leo yote mwanzo mwisho,imenifundisha mengi sana,ila ibada ya kuchoma hela hukuimalizia mkuu.Hebu malizia basi kaka mkubwa.
Hongereni sana Dawasco kwa huu uzi,mimi nlikua na maswali kadhaa ambayo kama tukipata majibu yake itasaidia sana.
1.Maeneo ya mbezi juu tuliwekewa mabomba kwenye mradi al maarufu kama mabomba ya wachina,ila tangu wayaweke hayo mabomba hayajawahi kutoa hata upepo,ila ni hapa jirani tuu maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.