Wakuu, nimeona Rais wa Mozambique Filipe Nyussi anaongea Kiswahili fasaha kabisa je kuna anayefahamu vizuri historia ya huyu mwamba ni mwenzetu au alisoma hapa Bongo?
Nimeipenda historia nzuri nimejifunzamengi
naomba kujua
1.nani alitoa amri ya kuuawa kwa Waziri mkuuhizi
2. James kabarebe alishiriki sehemu ipi katika harakati hizi.
3.nini mapokeo ya kifo cha rais wa Burundi katika shambulio hilo
tuzidi kuelimishana wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.