Search results

  1. Mtagwa lindi

    Naomba mnikumbushe

    yaani ni nzuri sana watanzania sijui tunajua nn kwa kweli
  2. Mtagwa lindi

    Naomba mnikumbushe

    Kuna tamthilia moja ya wakenya ilionyeshwa itv miaka ya nyuma Prezzo yupo inaitwaje wakuu
  3. Mtagwa lindi

    Huyu Rais wa Msumbiji ni Mmakonde mwenzetu au aliishi Bongo?

    Wakuu, nimeona Rais wa Mozambique Filipe Nyussi anaongea Kiswahili fasaha kabisa je kuna anayefahamu vizuri historia ya huyu mwamba ni mwenzetu au alisoma hapa Bongo?
  4. Mtagwa lindi

    Je, mmea huu ni dawa?

    mnautumiaje
  5. Mtagwa lindi

    Je, mmea huu ni dawa?

    sifahamu jina lake mkuu
  6. Mtagwa lindi

    Binti yangu ana Henia

    sawa nitakutafuta
  7. Mtagwa lindi

    Binti yangu ana Henia

    asante mkuu nimeenda hospitali wanasema oparesheni sasa nisingependa afike huko
  8. Mtagwa lindi

    Binti yangu ana Henia

    asante mkuu
  9. Mtagwa lindi

    Je, mmea huu ni dawa?

    Naomba kujua huu mmea ni dawa kweli na unatumikaje kuja wengine wanadai inatibu hadi Corona 1.
  10. Mtagwa lindi

    Binti yangu ana Henia

    Mwanangu wa kike anamiaka 12 anasumbuliwa na henia msaada tafadhali.
  11. Mtagwa lindi

    Matumizi ya viungo vya vyakula katika kuboresha lishe na afya

    Write your reply...hv kuna faida tofauti inayopatikana kutoka kwenye limao na ndimu?
  12. Mtagwa lindi

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    dunia mapito Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mtagwa lindi

    Rombo: Mwili wa Kijana Godwin Massawe wakutwa msituni ukiwa hautoi harufu. Wakutwa ukiwa na Rozari na Biblia

    ki kawaida nyama huwa zinawahi kuoza kabla ya nguo.. tuendelee Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Mtagwa lindi

    Wanaosema Rwanda kuna wanawake wazuri, je wameshawahi kufika Kondoa, Babati, Manyara na Iramba?

    huu uzi bila picha haunogi Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Mtagwa lindi

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Nimeipenda historia nzuri nimejifunzamengi naomba kujua 1.nani alitoa amri ya kuuawa kwa Waziri mkuuhizi 2. James kabarebe alishiriki sehemu ipi katika harakati hizi. 3.nini mapokeo ya kifo cha rais wa Burundi katika shambulio hilo tuzidi kuelimishana wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom