Wazo la CDM kuwa na Redio au Tv ni zuri, lakini kinachotakiwa ni umakini wa hali ya juu, kinatakiwa chombo ambacho hakitabase upande wowote ule kiwe kinatoa habari na sio ushabiki kama gazeti la Uhuru na TBCCM, kiwe ni kwa ajili ya Watanzania wote, na kuweza kukosolewa pale itakapohitajika...
Madokta ni wasomi, wana hekima vilevile, never argue with a fool people might not notice the difference, ujumbe umefika wananchi wanapoamua inawezekana, hongereni :hand:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.