Mbali na kuwazomea adhabu nzuri zaidi kuwapa kura sifuri pale uchaguzi wowote utakapofanyika! Tuhamasishane nchi nzima watu tuwe na mwamko kama wa Arumeru. Pesa zao za kifisadi tuzile maana ni zetu; lakini kura tusiwape!!!!
Whether fit or unfit, capable or uncapable; yeye na genge lake lote la Mafisi hadi... hawafai. Richimond-Dowans-Symbion; RADA; EPA; MADINI; WANYAMAPORI;... leo tuko gizani!!! Watanzania bado mnaseme wanafaaa; Kweli sisi WADANGANYIKA
Usikasirike!! Watanzania wengi ni wavivu kufikiri; kusoma; na kusimamia haki zao. Hii huwa ni sera ya makusudi ya ..M kuwajaza waDANGANYIKA ujinga ili waendelee kutawala daima. Shule za kata zintoe elimu au zinajaza wnafunzi ujinga??? Amkeni WaDanganyika. Oneni Wazenji Milioni moja wana Wabunge...
Tuliangalie kwa jicho tofauti! Mbona watu wengi tu wanaibiwa na hakuna kinachopatikana? Ina maana polisi hufanya kazi nzuri akiibiwa "kigogo" tu?? inatia shaka sana!!!!! Kuna jambo hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.