Loh ila nimeshangaa kweli sijui SoNotorious aliwaza nini jamani kukwambia eti wewe used, sijui alikuona sijui anakujua dah, mambo yooooote sawa lakini used!!!!
Nimekuwa nikijiuliza swali hili muda mrefu, nikaona si vibaya nikipata mawazo toka kwa watu mbalimbali, je sisi watanzania ni mambo yapi ambayo tunaweza kujivuna au kama ni mabaya tunaweza kusema tumewazidi watu wengine afrika mashariki, kusini, au hata ulimwenguni.
Mimi nitaanza
A. Mazuri
1...
Mkuu pengine shida ni taarifa, yapo maboresho mengi sana ambayo yamefanyika katika elimu ya msingi na sekondari, shida watu hawaoni na hata wakiona wanadharau. Shule za msingi na sekondari ni nyingi saana, zinahitaji majengo, walimu, maabara, vitabu na vitendea kazi vingine. Kuwepo kwa...
Mkuu mawazo yako ni mazuri zipo jitihada nyingi tu zinafanyika kuboresha mazingira ya kazi ili walimu wafundishe kwa moyo, ni kweli yapo makosa ambayo tumeyafanya kama nchi ambayo matokeo yake ndio haya tunayoyaona leo. Walimu wengi wa serikali walipwa karibu sawa na wahitimu wengine kulingana...
Kwanza nikupe pole kwa majukumu ya kila siku, pili nikupongeze kwa yale uliyoweza kuyafanya katika utawala wako na kwa yale uliyoshindwa ujitathmini na kuchukua hatua. Binafsi sijawahi kuleta maoni yangu ya aina yoyote kwako hivyo kupitia mtandao huu najua utaletewa taarifa.
Mimi ni mdau mkubwa...
Nahitaji unijulishe training zenu ni zipi na pia gharama. Je hiyo huduma ya integrated consultancy ni ipi ina vitu gani ndani? Nitashukuru kwa details utakazotoa.
Huu ni ukweli mchungu ambao itachukua miaka 5 - 20 kufa. Nakubaliana na mtoa mada na nina uhakika kwa kizazi hichi hii salam inakufa anaebisha alete utafiti ambao umefanyika au unafanyika kuhusiana na salam hii. Binafsi nikiamkiwa shikamoo siitikii labda ibidi kabisa. Wito wangu kwa mamlaka...
Guys, personally siipendi CCM, lakini kama tutatuliza akili zetu na kuwa positive na kutumia fursa hizi vizuri bila ubinafsi na rushwa, Tanzania ya miaka mitano mpaka kumi ijayo itakuwa yenye maendeleo na uchumi imara. Kuna watu hawaelewi ni kwa nini 5 Asian tigers kama Korea Kusini, Malaysia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.