Nimekuwa nikiangalia mwenendo mzima wa siasa za hapa nyumbani, na kulinganisha na siasa za nje, kusema ukweli siasa za hapa nyumbani zinalenga masilahi binafsi na wala si masilahi ya Taifa. Inauma sana unapoona kiongozi mliemchagua huku mkiwa na imani kubwa kuwa atawaondolea kero mlizonazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.