ni kweli muziki hubadilika na hata wasanii nao hubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya soko, Buster rymes wa fire ni tofauti na yule buster rymes wa baby give it to me vivo hivyo kwa ja rule, R.kelly nk.
Lil wayne, 50 cent, T.I na wengineo wa kizazi hiki hawawezi kuimba hip hop za...
Songs= 2 of american most wanted
who do you belive in
if i die 2nite
holla at me
heartz of men
i wonder heaven got a geto
film: poetic justice
documentally: resurection
subili dogo mbona una haraka, kwani Ritz ameonekana pande hizo
kimya kirefu kina mshindo na mi niko chimbo nafukunyua data na mkuu wa kaya alishasema serikali 3 labda mpaka atakapoondoka madarakani
kuna vitu viwili vinavyoweza kusababisha tatizo hilo kwanza simu yenyewe au betri peke yake, kwa upande wa btri maelezo ni hayo kama walivyokupa waliotangulia kwa upande wa sim ni la kiufundi zaidi inabidi ukamuone mtaalam aliebobea ktk matatizo ya namna hiyo kwani si mafundi wote wana utaalam huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.