Search results

  1. M

    Taasisi ya chakula na lishe inachelewesha mishahara

    Ucheleweshaji wa mishahara ya wafanyakazi wa Taasisi ya Chakula na Lishe ni kubwa sana. Tatizo hili ni kubwa na ni la muda mrefu. Hili Janga kubwa. Uongozi wa taasisi umebadilika lakini tatizo hili halija pata ufumbuzi kabisa. Katika vikao malalamiko ya mishahara kuchelewa ni moja ya kero zinazo...
  2. M

    Wafanyakazi lishe wabanwa kukopa banki

    Ni masikitiko makubwa sana. Wafanyakazi wa taasisi ya chakula na lishe tulikuwa tukunufaika sana na mikopo kutoka benki ya Azania. Mikopo hii imetusaidia sana katika mambo mengi. Mambo kama kujiendeleza kielimu, kununua vyombo vya usafilki, kujenga nyumba na kujiandaa kustaafu kwa kuanzisha...
  3. M

    Kura ya maoni: Edward N. Lowassa v/s Bernard K. Membe

    Tumchague john pombe magufuli nimchapa kazi tutapata maendeleo
  4. M

    Kura ya maoni: Edward N. Lowassa v/s Bernard K. Membe

    tumchague john pombe magufuli mchapakazi tutapata maendeleo
  5. M

    Msaidizi wa raisi masuala ya lishe si mgonjwa ni majungu tu

    HABARI kuhusu uteuzi wa dkt. Wilbard Lorry aliyeteuliwa kuwa mshauri wa Rais masuala ya lishe kama ilivyo tolewa kupitia mtandao wa jamii forum tarehe 19/7/2012 ni PROPAGANDA zinazofanywa na baadhi ya watu. Ndio maana hiyo habari haikuwa na ufafanuzi wowote kuhusu huo ugonjwa alionao...
  6. M

    Msaidizi wa raisi masuala ya lishe ni mgonjwa

    HABARI kuhusu uteuzi wa dkt. Wilbard Lorry aliyeteuliwa kuwa mshauri wa Rais masuala ya lishe kama ilivyo tolewa kupitia mtandao wa jamii forum tarehe 19/7/2012 ni PROPAGANDA zinazofanywa na baadhi ya watu. Ndio maana hiyo habari haikuwa na ufafanuzi wowote kuhgusu huo ugonjwa alionao licha ya...
  7. M

    Ndosi mbona huondoki taasisi ya chakula na lishe, umesahau nini

    Tangu apate barua ya kuwa aondoke katika taasisi ya chakula na lishe yapata wiki mbili sasa Bwana Ndossi anaendelea kuzura zurura katika maeneo ya taasisi hiyo kwa kisingizio kuwa anafunga mizigo na kuandika ripoti. Wakati inafahamika kuwa mtu yoyote anapokaribia muda wa kustaafu miezi sita...
  8. M

    Mkurugenzi wa taasisi ya chakula na lishe aliyeondolewa aendelea kuzurura maeneo ya taasisi

    Tangu apate barua ya kuwa aondoke katika taasisi ya chakula na lishe yapata wiki mbili sasa Bwana Ndossi anaendelea kuzura zurura katika maeneo ya taasisi hiyo kwa kisingizio kuwa anafunga mizigo na kuandika ripoti. Wakati inafahamika kuwa mtu yoyote anapokaribia muda wa kustaafu miezi sita...
  9. M

    Wafanyakazi taasisi ya chakula na lishe wafanya bonge la sherehe wafurahia mkurugenzi wao kuondolewa

    Bonge la sherehe kupita sherehe nyingine zote katika taasisi hiyo kuwahi kutokea, imefanyika siku ya Jumatano kufutia kuondolewa kwa aliyekuwa mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Godwin Ndosi. Mara baada ya kutangaza rasmi kuwa anastafu siku ya ijumaa tarehe 16/3/12 shamra shamra zilianza mara...
  10. M

    Hongera sana waziri wa afya kumng'oa mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya chakula na lishe tanzania

    Hatimaye jibu la kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi wa taasisi ya chakula na lishe Tanzania limepatikana. Ilikuwa ijumaa siku ambayo wengi wao hawakutegemea kuwa hayawi hayawi YAMEKUWA. Taasisi kwa kipindi kirefu ilikumbwa na dhoruba kubwa sana ambapo wafanyakazi wengi walitamani siku...
  11. M

    Hongera sana wizara ya afya kumng'oa mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya chakula na lishe tanzania

    Hatimaye jibu la kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi wa taasisi ya chakula na lishe Tanzania limepatikana. Ilikuwa ijumaa siku ambayo wengi wao hawakutegemea kuwa hayawi hayawi YAMEKUWA. Taasisi kwa kipindi kirefu ilikumbwa na dhoruba kubwa sana ambapo wafanyakazi wengi walitamani siku moja...
  12. M

    Wizara ya afya kwaweza kufuka moshi tena

    Migogoro na migomo mingi huwa inasababishwa na kulea matatizo. Laiti matatizo yangekuwa yana tatuliwa maramoja yanapotokea migogoro ingepungua sana. Kuna taasisi moja katika wizara ambayo hivi karibuni kulikuwa na mgomo ule wa madaktari kuna matatizo makubwa sana ambayo kwa kiasi kikubwa...
  13. M

    Wizara ya afya kwaweza kutokea mgororo mwingine

    Migogoro na migomo mingi huwa inasababishwa na kulea matatizo. Laiti matatizo yangekuwa yana tatuliwa maramoja yanapotokea migogoro ingepungua sana. Kuna taasisi moja katika wizara ambayo hivi karibuni kulikuwa na mgomo ule wa madaktari kuna matatizo makubwa sana ambayo kwa kiasi kikubwa...
  14. M

    Migogoro inaweza kuzuilika

    migogoro huwa inatokea mara nyingi ni kwasababu ya kuilea na kutoshughulikia matatizo mapema
  15. M

    Nitapataje AK 47 kama ADAM MALIMA?

    HUYO MH. KASHA ELEZA ALIIBIWA VIPI. KABOMOLEWA, WAHUDUMU WALIIBA AU KAVUTA mmmmh TOKA CLUB MAARUFU KAUMBA HAPO MJI PASIPO BAHARI
  16. M

    Malima akubali...

    HUYO MH. KASHA ELEZA ALIIBIWA VIPI. KABOMOLEWA, WAHUDUMU WALIIBA AU KAVUTA mmmmh TOKA CLUB MAARUFU KA.....BA HAPO MJI PASIPO BAHARI
Back
Top Bottom