Uc'hukumu ucje kuhukumiwa, mbona wanafunzi mnaibaga mitihani au assignment za wenzenu, au madesa ya wenzenu, nani aliwapiga hvo?, mlitakiwa mumkanye tu kidogo na kumpa adhabu tu ya kumwagilia maua hapo mabibo, au kuchota maji cafteria na kuosha vyombo.,
Kwani lowasa yeye ni nani mpaka aalikwe, kwani wengine walio alikwa kwenye hyo sherehe hawatoshi, bila lowasa, acheni upumbavu wenu wa kuchanganya siasa na dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.