Search results

  1. M

    Mwizi apigwa vibaya UDSM, yupo hoi!

    Uc'hukumu ucje kuhukumiwa, mbona wanafunzi mnaibaga mitihani au assignment za wenzenu, au madesa ya wenzenu, nani aliwapiga hvo?, mlitakiwa mumkanye tu kidogo na kumpa adhabu tu ya kumwagilia maua hapo mabibo, au kuchota maji cafteria na kuosha vyombo.,
  2. M

    Lowassa hajaalikwa kwenye harambee yetu ~ Kanisa Katoliki

    Kwani lowasa yeye ni nani mpaka aalikwe, kwani wengine walio alikwa kwenye hyo sherehe hawatoshi, bila lowasa, acheni upumbavu wenu wa kuchanganya siasa na dini.
Back
Top Bottom