hakuna kwenye iyo video walipozomewa ao ulio wataja.umejilekodi mwenyewe ukizomea tena ata aliyekuwa anaongea sio kati ya ao ulio wataja.inshort umezomea wewe na siyo hadhira yote
magunia ya saizi ya kati nauza 50000 plus kukuletea ulipo,kumbuka gunia ilo ilo wengine wanauza 54000.Gunia kubwa kabisa la shanga mbili na ngazi tatu kwa jina maarufu kabuluma nauza 70000 wakati gunia ilo ilo wengine wanauza 80000 mpaka 85000.mkaa wangu ni chuma kaka kitu toka chole.store ndogo...
Haya jamani mnishike mkono kijana wenu au kijana mwenzenu kwa kununua mkaa wangu. Pia asanteni kwa wale wote mliojitokeza Tandika soko la Sterio kununua Matikiti yangu maana nyie ndio mlionifanya nikapata pia na mtaji wa kuanzisha biashara ya mkaa.
Kwa anayehitaji Mkaa, Maoni na Ushauri...
kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimekutana na mtu mwenye mitazamo kama yangu.kaka na tufanye sasa.naamini inawezekana..0659942454-namba hiyo imesajiliwa kwa jina la kike ila mimi ni kijana wa kiume.
Ni julius malema ..huyo ni kiongozi wa vijana wa ANC ambaye wazee wa chama chake wanamuona kama mtu hatari na adui kwao eti tu kwa kupinga ubeberu,na kupinga watu wachache hasa wazungu kunufaika na rasilimal za south africa na africa kwa ujumla.
Cdm tumeshinda uchaguz wa mwenyekiti wa kijiji cha Burifan kwa mgombea wetu ndugu.DEOGRATIAS LAURIAN Kupata kura 401 uku mgombea wa ccm ndugu mathias kibarwiga akipata kura 129 na Mgombea wa TLP ndugu plasid Vedasto akiambulia kura 2.katika eneo ilo wanatoka vigogo wa ccm kama mbunge wa Nkenge...
Cdm tumeshinda uchaguz wa mwenyekiti wa kijiji cha Burifan kwa mgombea wetu ndugu.DEOGRATIAS LAURIAN Kupata kura 401 uku mgombea wa ccm ndugu mathias kibarwiga akipata kura 129 na Mgombea wa TLP ndugu plasid Vedasto akiambulia kura 2.katika eneo ilo wanatoka vigogo wa ccm kama mbunge wa Nkenge...
Mwalimu j.k nyerere alipata kusema AMANI NI ZAO LA MATUMAINI NA MATUMAIN YAKITOWEKA AMAN HAKUNA...ao watu wanafanya vurugu coz wameshapoteza matumain,..na mwl j.k nyerere aliongeza tena kwa kusema "WAKATI WENGI WA WANANCHI WANAPOPOTEZA MATUMAIN UNAJENGA VOLCANO NA VOLCANO HIYO LAZIMA ITALIPUKA...
Mr emmy!ibara ya 18 ya katiba ya muungano inakupa uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zako..na mimi basi nikitumia haki hiyo hiyo ya kikatiba ya kutoa maon na kueleza fikra zangu nakwambia tusubiri april natujue coz swala la nani atakuwa mbunge wa arumeru washarik ilo liko mikononi mwa wapiga...
Nassari kumuoa nani au atamuoa nani iko siyo kigezo cha kuchaguliwa au kutochaguliwa ..the issue ni sera..kuona au kutooa hiyo ni private lyf ya mtu and we as the public linapokuja swala la kuchagua kiongoz jambo tunalopaswa kufuatilia ni sera tu zamgombea...mfano lazima atueleze kwamba yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.