taarifa hiyo ni ya kweli.cloud fm kupitia kipind cha jahazi wametoa taarifa hiyo ni kweli....hakuna wa kupinga Tbc ilngara kwa sababu ya tido.ngoja haende wao walzani wanamkomoa kumbe ndio wanaiiua tbc.
huyu jamaa aliye post hii mada nazani hajitambui vizuri.ni ngumu kukiua cdm.kwani wa-tz wanajua ukweli,hakuna chama mbadala ambacho kitaleta ukombozi wa nchi isipokuwa cdm...jaribu kujitathimini kabla ya kuleta mjadala wako hapo japo ukweli unaujua..mungu bariki tanganyika na cdm.
kaka angalau itv kidogoo wanatuonyesha...KALI ZAIDI NI HAO TBC.TANGU KAMPENI ZIANZE SIJAONA TAARIFA ZA KAMPENI ZA CDM.or me nina bahati mbaya wakilusha cku hiyo ninakuwa sijaangalia habari. kwani tbc ni ccm?
heshima kwenu wana jf kwa michange yenu ambayo imekuwa na manufaa kwa wote..nichukue nafasi hii kujitambulisha kwenu kama mwana jf mpya.naomba kuwapa salamu.thank.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.